Wakuu naomba mnisaidie kabila sahihi la kuoa Tanzania?

Wakuu naomba mnisaidie kabila sahihi la kuoa Tanzania?

Oa KIMBINYIKO hawa hawatumiagi hela toka zamani ni mwiko kwao, so utakuwa umetoboa kijana
 
Hakuna kizuri kikakosa kasoro.
Hakuna kabila au race iliyo perfect.
 
Mkuu kwa ustawi wa familia yako,kadiri inavyowezekana oa mwanamke wa kabila yako!
Ni rahisi kuheshimia na kuelewana!
 
Apatae mrangi apata mke mwema tena mweupe na mwenye lafudhi ya mah'aba
 
Kuoa inategemeana na mambo mengi.kuna makabila yana tabia fulani fulani.
Mfano,
1.Waha,wahehe,waruguru,Wamasai,Wanyakusya & Wasukuma wanawake wao wengi ni wachafu
2.Singida,Manyara,Dodoma &Tanga-Wanawake wengi ni wamalaya
3.Wachaga,wapare& wameru-Wanawake wengi ni Makatili na majeuri
4.Geita,Shinyanga,Simiy,Tabora-Wanawake wengi ni washirikina
5.Lindi,Mtwara,Pwani -Wanawake wengi wavivu

Chagua kaburi lako upendavyo,na ukumbuke 80% ya vifo vya Wanaume vinatokana na Wanawake.
Mkuu hapo hujataja muhaya, Bukoba
 
Back
Top Bottom