Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tena huko MAANDEoa mchaga wa Marangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena huko MAANDEoa mchaga wa Marangu.
Kaoeni makabila yenu wazeeWabena hawapendi ndugu upande was Mume!!
Proved!
Ukiona maelezo ya aina hii bila shaka unatoka kwenye kabila ambalo halina sifa nzuriUnaoa kabila ama unaoa mtu..??
Siku hizi mambo ya kabila hayana impact yoyote ile, makabila yote yana watu wema na watu wa hovyo pia
Haumtakii mema mwenzako weweoa mchaga wa Marangu.
Mbulu, Muiraq,Mrangi na Mmachame.Wakuu naomba mnisaidie kabila sahihi la kuoa Tanzania?
Thread ClosedUnaoa kabila ama unaoa mtu..??
Siku hizi mambo ya kabila hayana impact yoyote ile, makabila yote yana watu wema na watu wa hovyo pia
Natokea TANGA... niambie kabila gani halifai kwa ndoa huko..?Ukiona maelezo ya aina hii bila shaka unatoka kwenye kabila ambalo halina sifa nzuri
Mkuu,Oa Mkimbu au Mkonongo. Utakuja nishukuru baada ya miaka 70 ya ndoa