Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Oa kwenye ukoo wako au hakuna wanawake?Wakuu naomba mnisaidie kabila sahihi la kuoa Tanzania?
Aoe mzaram au mrangiKuoa hakuna kabila
Ila mchaga usioe 😁
Mi nilijua hii ni tabia ya wapare na wachagga, heeee? [emoji848]Wabena hawapendi ndugu upande was Mume!!
Proved!
Mmeru Muarusha pita mbali kama haujawaona maana utajutaWakuu naomba mnisaidie kabila sahihi la kuoa Tanzania?
Siku hizi hakuna Cha kabila ni yeyote TU!Mi nilijua hii ni tabia ya wapare na wachagga, heeee? [emoji848]
Mkuu hapo hujataja muhaya, BukobaKuoa inategemeana na mambo mengi.kuna makabila yana tabia fulani fulani.
Mfano,
1.Waha,wahehe,waruguru,Wamasai,Wanyakusya & Wasukuma wanawake wao wengi ni wachafu
2.Singida,Manyara,Dodoma &Tanga-Wanawake wengi ni wamalaya
3.Wachaga,wapare& wameru-Wanawake wengi ni Makatili na majeuri
4.Geita,Shinyanga,Simiy,Tabora-Wanawake wengi ni washirikina
5.Lindi,Mtwara,Pwani -Wanawake wengi wavivu
Chagua kaburi lako upendavyo,na ukumbuke 80% ya vifo vya Wanaume vinatokana na Wanawake.
Nakazia.Oa kabila lako mkuu