(Blueprint)
Kuingia Zanzibar
Unahitaji kuwa na kitambulisho , NIDA vote ID , reseni n.k
Sehemu pakufikia , Kama wewe ni muislam Ila hauna pakufikia jitahidi upande boti ya Ahsubui then ukifika tafuta msikiti wowote kuanzia hapo forodhani waambie hilo swala lako.
Kuwa hauna pakulala Ila unafatilia fursa katika miradi ya ujenzi.
Hawa jamaa wanajiita wazanzibari wana roho nzuri Sana hawana ubaguzi wowote .
Kuhusu kula
Kulala ukifika Zanzibar usiwaze kale kanchi kamebarikiwa watu wakarimu na wenye UPENDO .
Jitahidi uwe na maadili zile tabia za kibongo za kugoneka na kupombeka hawazifagilii so wakikusoma Una hizo mambo wataanza kukuchukulia poa poa na kuua reputation yako.
Kutoboa na kufanikiwa -hii muachie Mungu wewe weka juhudi tu .
All the best Nigga.