Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Wanaojua haka kaugonjwa kapo sana maeneo ya pwani.
Nakumbuka shulen huko pwani watu walikua wanaugua sana kwa sababu ya maji tuliyokua tunatumia na mazingira ya unyevu nyevu.
Wajasiliamali wa dawa za fangas huku walijipatia hela.
Lakin jana kulala kuamka nakuta nina hao fangas kwene korodani zangu.Najiuliza nimetoa wap na niko mikoani huku hamna hayo mafangas.
Ngozi ya korodan inababuka kama umemwagiwa asidi na miwasho siyo kivile.
Kabla sijanunua dawa ya fangas nataka kujua nimewatoa wap?
Wataalam?
Nakumbuka shulen huko pwani watu walikua wanaugua sana kwa sababu ya maji tuliyokua tunatumia na mazingira ya unyevu nyevu.
Wajasiliamali wa dawa za fangas huku walijipatia hela.
Lakin jana kulala kuamka nakuta nina hao fangas kwene korodani zangu.Najiuliza nimetoa wap na niko mikoani huku hamna hayo mafangas.
Ngozi ya korodan inababuka kama umemwagiwa asidi na miwasho siyo kivile.
Kabla sijanunua dawa ya fangas nataka kujua nimewatoa wap?
Wataalam?