Kutumia hiyo pesa Ni kosa kisheria na utaenda Jela..
Kama unaweza fungua akaunti ya kubenki nchi nyingine Kama Ni mil hiyo 300 amishia huko 280Ml..
Iliyobakia kaitoe Benk chap, then tokomea kusikojulikana Chukua hiyo pesa katafute viza na passport then chimba mahali achana na Simu Wala kumpigia yeyote yule wa karibu yako.. kaa huko vijijini hata Kodi shamba Lima Lima kaa hata mwaka baadaa ya hapo tafuta simu nyingine Anza kufuatilia uelekeo wa Nje ya nchi...
ID YANGU NI HIYO HUSINISAHAU NDG KWENYE UFALME WAK WA MIL 300, AMINA..