imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hatimae Benki itagundua makosa ChiefSerikali haijalala kihivyo... akikaa kimya na wakati wa kuifuatilia ikaja onekana akaunti yake ina pesa ambayo mzunguko wake ndio huo wa haramu... Lazima ajumuishwe kwenye wizi... Maana atakuwa hana ushahidi wa kutohusika