Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,371
- 2,834
HahahahNina uhakika 100% ingekua ni kweli ulichokiandika,ungeshapata solution pale pale
ndani ya 5 sec baada ya kuona acc inasoma hiyo amount,si kwa life hili eti mtu aone noti
njiani imedondoka aite majirani aulize nani kadondosha hiii hela wapendwa ktk bwana,No braza Not for Tanzanian...