Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

Miaka ya 2012-2014 kama sikosei, iliwahi kutokea ishu ya watu kuingiziwa pesa kimakosa mwisho wa mwezi ilikuwa kiwanda Cha nguo Morogoro kinaitwa Mazava.

Kuna waliowekewa pesa kidogo na kubwa, waungwana walienda kuripoti kwa mhasibu. Kuna wengine walitembea na hawakurudisha hata senti na kazi wakaacha.
 
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:

1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?

Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Umesoma vizuri salio isije kuwa 300 sh.unaona 300 milioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:

1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?

Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.

Endelea kuota tu MKUU.
 
acha ushamba bwana mdogo. kiasi cha fedha kama hicho kama kweli umekikuta na hujui kilikotoka wala usingekuwa na muda wa kuja kutu enjoy.


pitia thread za nyuma kuna wenzako pia walianzisha thread za aina hii nyingi tu. Sijafaham bado malengo yenu yanakuwa ni nini
 
Sad Update: Transaction reversed 2:30pm.....

Ushauri umechelewa, wengine wameniogopesha.........basi ndiyo hivyo - Ngombe wa maskini.......
 
Na ile M1 uliyotoa?
Kwenye account kulikuwa na hela zangu, kwa hiyo nilivyotoa ile 1M ule mzigo wao ulikuwapo intact... nilitoa ili nijue je account bado ipo accessible? je balance yangu ya zamani ipo sawa? je mzigo wao utaonekana kwenye balance yangu mpya? kweli ulionekana wote.
 
Njoo nikufanyie dawa Bank wasizione, Ila itabidi ulale na Dada poa 13 kwa siku moja?
 
alipewa kiasi gani Reward?au aliambulia Asante Tu
Jamaa walisakwa na mitutu ya bunduki kila kona. Yeye alipewa milioni kadhaa na Serikali Kwa kutojihusisha na kuitoa. Kwa ujumla fedha kama hizo zipo kwenye mfumo ambao ni vigumu kutokukamatwa. Labda walioiweka wawe wamefanya hivyo kwa kujiokoa halafu washindwe namna ya kuzifuatilia tena. Ndiyo maana nikatoa pia maoni kwamba anaweza akajipa muda mrefu wa kukaa kimya kama hakuna kilichotokea. Asiseme na asizitoe. Akizitoa na kuzitumia kuna uwezekano mkubwa zikamtokea puani. Pia itapasuka na atakosa furaha.
 
hapana, mi nataka ushauri najua kuna watu yalishawakuta kama haya before, ku share uzoefu nao ni jambo jema!!
Benk hawawezi kukushukuru kwa kukupa hata laki moja. Wewe la msingi toa kama 50 kwanza afu usiombe risiti, usikilizie kama ni kimya baada ya muda toa 100, hivyo hivyo zimalize na uachane na hiyo account.

Cha kuokota sio cha kuiba, hii dunia haina huruma.ukute ndo mungu kakufungulia hiyo njia ya kutokea?

Duniani hata utende mema hakuna atakae kukumbuka.wewe hujamuibia mtu.zitoe kwa mafungu

All the best.
 
Sad Update: Transaction reversed 2:30pm.....

Ushauri umechelewa, wengine wameniogopesha.........basi ndiyo hivyo - Ngombe wa maskini.......
Mkuu ndo ningekua karibu yako makofi ya mwendokasi yangekuhusu.ila tunaomba screenshot hiyo text ya reversal ya muamala..maana naona km siamini aisee
 
Chukua milioni 200 KWANZA,weka kwenye fixed deposit ya miezi 6,alafu ndiyo uendelee kusikiliza yowe litatokea wapi.
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:

1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?

Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
 
Kama ni kweli na hukua usingizini kwamba unaota basi elewa kua hilo ni jambo la kawaida sana kutokea Bank. Kama usemavyo ni kweli basi ujue sio tu kwamba pesa hizo sio zako bali ni za moto. Utakapo zigusa kama ulivyosema mwenyewe kwa kuzitoa au kuzihamisha, kosa la UTAKATISHAJI linakuhusu

Ila ni suala ala muda mfupi tu kwenye ripoti za siku iwe Bank yako au huko zilipotoka watajua na watazirudisha zinapostahili. Ushauri wangu zitolee taarifa hapo tawini kwako au tawi la karibu la Bank yako ingawa naelewa Bank hawatakupa hata buku zaidi ya kukushukuru na kukuona muaminifu
Ushauri wa kimaskin kabisa
 
Yes, kuna mdau pia kanitonya hivyo kwamba ikifika mwisho wa siku leo wanaweza kuzitoa - ndiyo maana nataka nikazitoe kabla ya siku kuisha... Kuna mdau kasema kwamba nijilipue - kufa ni mbele kwa mbele ila nasita -sita roho inagoma.
Acha uoga mtoto mungu anaamua kukupa pesa unaleta ujinga kesho uanze kuomba mungu akupe maisha mazur
 
Tumbua tu alafu footprints zionyeshe zimetoka alshabab ndio utatuelekeza mmepanga mkashambulie wapi hapo huruki ,ila download milion tano ndio ukaripot
 
Chukua milioni 200 KWANZA,weka kwenye fixed deposit ya miezi 6,alafu ndiyo uendelee kusikiliza yowe litatokea wapi.
Usisahau TZ yetu, ukiwa na hela kama hiyo...utaulizwa kwanza umeitoa wapi? Umeipataje pataje? M10 tu kuiDeposite Bank ama kuitoa maswali kibao
 
Back
Top Bottom