Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

mfano akitoa hata 10m..then 290m aziripoti benki..itakuwaje?
Hiyo M 10 watakuwa wanamkata kila hela itakayoingia kwa hiyo akaunti yake mpaka pale deni lao litakapoisha.

Hii ni Experience ndogo, ya hela ndogo ndogo zilizowahi ingia kwa akaunti yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...

Sasa kwa M10 sijui kama hawatamtafuta! [emoji134][emoji23][emoji23][emoji23]....ila hata wakimtafuta atakuwa na cha kujitetea.

Oyaa mkuu, mi sikufundishi dhambi.
 
Kama ni kweli... Unaingizwa mkenge... Stuka... Huenda kuna watu wanatumia akaunti yako kuhamisha pesa haramu kabla hawajazipeleka wanapotaka wao...
nifanyaje Mkuu - nikareport Police ama? muda unasogea huu
 
Ye, kuna mdau pia kanitonya hivyo kwamba ikifika mwisho wa siku leo wanaweza kuzitoa - ndiyo maana nataka nikazitoe kabla ya siku kuisha... Kuna mdau kasema kwamba nijilipue - kufa ni mbele kwa mbele ila nasita -sita roho inagoma.
Inawezekana Wapo ambao yalishawakuta na wakapima... Ila bahati ya mwenzio si ya kwako... You never know... Labda wanasubiri hatua yako moja utayokosea ili wafanye wanachotaka kufanya
 
Hiyo M 10 watakuwa wanamkata kila hela itakayoingia kwa hiyo akaunti yake mpaka pale deni lao litakapoisha.

Hii ni Experience ndogo, ya hela ndogo ndogo zilizowahi ingia kwa akaunti yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...

Sasa kwa M10 sijui kama hawatamtafuta! [emoji134][emoji23][emoji23][emoji23]....ila hata wakimtafuta atakuwa na cha kujitetea.

Oyaa mkuu, mi sikufundishi dhambi.
Ila mkuu nina swali..iweje ukitumia wakushtaki wakati akaunti ni yako wewe?na kuna mchangiaji kasema humu hata ukizirudisha hawakupi hata buku
 
inatokeaga ..kwakua wanaofanya kazi ni binadamu....report watairudisha au wataifanyia kazi kabla siku haijaisha..ukiitoa utakua ni wizi ila ni ngumu kukuhukumu..so utajikuta umepewa mkopo ambao lazima ulipe...chukua hatua maamuzi ni yako...kikubwa kama mzunguko wako haujawahi kua mkubwa hivyo hutoweza itoa bila kithibitisho ulivyoipata
 
Nyie mnamuona jamaa kama anatania inaweza kuwa kuna hela haramu inapitishiwa kwenye account yake,kama CAG alivosema acc ya zimamoto ilipitisha milioni 200 naa...

Mkuu FUSO toa hiyo pesa ila toa kidogo kidogo. Kama ni kweli naamini kuna kigogo kashirikiana na bank teller kaificha hapo,chomoa afu hama mji kabisa ikiwezekana,afu namba uliyounganishia na bank nenda kafute usajili wake.

Ukifanikiwa unikumbuke au njoo inbox kwa majadiliano vizuri
 
Nenda karipot polisi kisha benki ili uondokane na kadhia itakayokupata baadae... Raha ya pesa utafute zako za halal
Sawa mkuu, ila yawezekana hii ndiyo ilikuwa njia yangu pekee ya kutokea ...laaahh wacha kwanza nisubiri subiri ushauri zaidi.
 
hapa naona bado sijapata ushauri wa maana, bado nina masaa 6 tu kuamua - please
Hah! Hujapata ushaur wa maana!? We kumbe ushakua na maamuz yako unataka wakusaidie kujustify hicho unachotaka loh!
 
Wala hata usihangaike kuzitoa,
1.Kwanza hutoweza kuitoa maana bank wanajua trend ya deposits na withdrawals zako,sasa utapoenda dirishani kutoa 300M au ukituma TT lazima wakudake.
2.Leo jioni wakati wanafunga mahesabu wataona na ku reverse hiyo trxn.
So relax hata usihangaike,labda itakupa ka interest kidogo mwisho wa mwezi kama ikikaa sana.
 
Ila mkuu nina swali..iweje ukitumia wakushtaki wakati akaunti ni yako wewe?na kuna mchangiaji kasema humu hata ukizirudisha hawakupi hata buku
Mimi nina uzoefu wa hela ndogo, mimi hela imewahi kuingia akaunti yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...nikaitoa kama kawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....nikaitumia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Kivumbi kikaja Nilipoingiziwa hela siku nyingine...kila nikitoa kiasi fulani[emoji134] naambiwa sina salio la kutosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....Nikicheki salio ipo....

Nikaamua kuchukua risiti ATM niisome vizuri....nikakuta kuna "maSalio mawili" kuna moja imeandikwa kwa juu, na nyingine kwa chini....Duh! Nikarudi zangu home. Kesho nikaibuka Bank Customer care mapema wanipe ufafanuzi mbona salio zinaonekana mbili!??!?!?! Na salio langu lile halitoki (maana nilitaka kutoa hela yote niliyoingiziwa)

Wakacheki, wakaniambia "Siku fulani kuna hela iliingia kwa akaunti yako, na wewe ukaitoa" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....nikawajibu aaaah hahaha ndio bhana iliwahia ingia, ila mi kwa.sababu watu wengi wanaweza nitumia au kazini madai fulani, nikajua ndo malipo[emoji23][emoji23][emoji23]...wakaniambia ndo hivyo hela ilishikiliwa kwa namna hiyo[emoji23]...Bhasi nikawaambia ichukueni sasa hela yenu, mrekebishe akaunti yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...wakaSet mambo yao....nikaenda zangu ATM nikatoa hela iliyobaki[emoji23][emoji23]...nikaondoka zangu taratibu[emoji23]

Sasa kwa hela kubwa sijui itakuwaje...?!?!


Ila namshauri Mleta mada, ila sio kwa kunisababishia dhambi[emoji23][emoji23][emoji23]....kama una njaa, chukua kiasi mzee (Usichukue nyingi sasa, Hata Chini ya Milioni 3[emoji23][emoji23][emoji23])...kiwango ambacho una uhakika unaweza kukilipa, wakianza kukukata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kikufae siku hizi mbili tatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...utalipia tu.

Ila usichukue nyingi mzee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa mkuu, ila yawezekana hii ndiyo ilikuwa njia yangu pekee ya kutokea ...laaahh wacha kwanza nisubiri subiri ushauri zaidi.
Mkuu ukienda polisi unaweza kupewa kesi na pesa wakaipiga wao...amini nachokwambia
 
Back
Top Bottom