Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

Kama ni kweli na hukua usingizini kwamba unaota basi elewa kua hilo ni jambo la kawaida sana kutokea Bank. Kama usemavyo ni kweli basi ujue sio tu kwamba pesa hizo sio zako bali ni za moto. Utakapo zigusa kama ulivyosema mwenyewe kwa kuzitoa au kuzihamisha, kosa la UTAKATISHAJI linakuhusu

Ila ni suala ala muda mfupi tu kwenye ripoti za siku iwe Bank yako au huko zilipotoka watajua na watazirudisha zinapostahili. Ushauri wangu zitolee taarifa hapo tawini kwako au tawi la karibu la Bank yako ingawa naelewa Bank hawatakupa hata buku zaidi ya kukushukuru na kukuona muaminifu
Yes, kuna mdau pia kanitonya hivyo kwamba ikifika mwisho wa siku leo wanaweza kuzitoa - ndiyo maana nataka nikazitoe kabla ya siku kuisha... Kuna mdau kasema kwamba nijilipue - kufa ni mbele kwa mbele ila nasita -sita roho inagoma.
 
Kama ni kweli na hukua usingizini kwamba unaota basi elewa kua hilo ni jambo la kawaida sana kutokea Bank. Kama usemavyo ni kweli basi ujue sio tu kwamba pesa hizo sio zako bali ni za moto. Utakapo zigusa kama ulivyosema mwenyewe kwa kuzitoa au kuzihamisha, kosa la UTAKATISHAJI linakuhusu

Ila ni suala ala muda mfupi tu kwenye ripoti za siku iwe Bank yako au huko zilipotoka watajua na watazirudisha zinapostahili. Ushauri wangu zitolee taarifa hapo tawini kwako au tawi la karibu la Bank yako ingawa naelewa Bank hawatakupa hata buku zaidi ya kukushukuru na kukuona muaminifu
mfano akitoa hata 10m..then 290m aziripoti benki..itakuwaje?
 
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu je
1. Ni report bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
........

wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
bangi hizi
 
Kutumia hiyo pesa Ni kosa kisheria na utaenda Jela..
Kama unaweza fungua akaunti ya kubenki nchi nyingine Kama Ni mil hiyo 300 amishia huko 280Ml..
Iliyobakia kaitoe Benk chap, then tokomea kusikojulikana Chukua hiyo pesa katafute viza na passport then chimba mahali achana na Simu Wala kumpigia yeyote yule wa karibu yako.. kaa huko vijijini hata Kodi shamba Lima Lima kaa hata mwaka baadaa ya hapo tafuta simu nyingine Anza kufuatilia uelekeo wa Nje ya nchi...
ID YANGU NI HIYO HUSINISAHAU NDG KWENYE UFALME WAK WA MIL 300, AMINA..
 
Kutumia hiyo pesa Ni kosa kisheria na utaenda Jela..
Kama unaweza fungua akaunti ya kubenki nchi nyingine Kama Ni mil hiyo 300 amishia huko 280Ml..
Iliyobakia kaitoe Benk chap, then tokomea kusikojulikana Chukua hiyo pesa katafute viza na passport then chimba mahali achana na Simu Wala kumpigia yeyote yule wa karibu yako.. kaa huko vijijini hata Kodi shamba Lima Lima kaa hata mwaka baadaa ya hapo tafuta simu nyingine Anza kufuatilia uelekeo wa Nje ya nchi...
ID YANGU NI HIYO HUSINISAHAU NDG KWENYE UFALME WAK WA MIL 300, AMINA..
Kuna ndugu yangu nataka kumtumia muda huu kwa PayPal - yupo nje ya nchi - Sasa naogopa endapo Transaction hii kama inaweza kushtukiwa na BOT ama lah - nina muda mchache sana kuamua hili... then nichimbe!!
 
Kutumia hiyo pesa Ni kosa kisheria na utaenda Jela..
Kama unaweza fungua akaunti ya kubenki nchi nyingine Kama Ni mil hiyo 300 amishia huko 280Ml..
Iliyobakia kaitoe Benk chap, then tokomea kusikojulikana Chukua hiyo pesa katafute viza na passport then chimba mahali achana na Simu Wala kumpigia yeyote yule wa karibu yako.. kaa huko vijijini hata Kodi shamba Lima Lima kaa hata mwaka baadaa ya hapo tafuta simu nyingine Anza kufuatilia uelekeo wa Nje ya nchi...
ID YANGU NI HIYO HUSINISAHAU NDG KWENYE UFALME WAK WA MIL 300, AMINA..
Bado atatiwa katka mikono salama, kwa kuwa kama ni mchongo wa staff wa bank husika ni lazima itakuwa wanaifuatilia muda wote, kwa hiyo ukitia tu upawa kuchota tayari wanakudaka.
 
Bado atatiwa katka mikono salama, kwa kuwa kama ni mchongo wa staff wa bank husika ni lazima itakuwa wanaifuatilia muda wote, kwa hiyo ukitia tu upawa kuchota tayari wanakudaka.
dah.......
 
Ilinitokea siku moja Equity bank nilipata sms nimekuwa credited 56+mil kwenye AC nilikuwa safari natoka Dar naenda Dodoma nikapagwa sana maana nilikuwa na muda sina deal ya kuingiziwa hela hata kama zilikuwepo sio hicho kiasi nikasema ngoja nikatoe angalau 1m kwa VISA crdb pale Msamvu, kila nikitoa hela haitoki inasema sina balance nikiangalia balance inasoma.

Kesho yake nikaenda Dom branch ndio wakaniambia walikosea ac ilikuwa kwenye status ya kutoka kwenda kwa ac iliyokusudiwa.
 
Kuna ndugu yangu nataka kumtumia muda huu kwa PayPal - yupo nje ya nchi - Sasa naogopa endapo Transaction hii kama inaweza kushtukiwa na BOT ama lah - nina muda mchache sana kuamua hili... then nichimbe!!
Pay pal ndo nn mkuu?
 
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu je
1. Ni report bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
........

wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Kama ni kweli... Unaingizwa mkenge... Stuka... Huenda kuna watu wanatumia akaunti yako kuhamisha pesa haramu kabla hawajazipeleka wanapotaka wao...
 
Haina namna ya kuzipiga hizo pesa toa taarifa tu kwa wahusika
 
Back
Top Bottom