Wakuu nimepata Tashtwiti kuwauliza jambo hili kuhusu hawa Wachina. I smell something fishy in the future

Wakuu nimepata Tashtwiti kuwauliza jambo hili kuhusu hawa Wachina. I smell something fishy in the future

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele?

Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...

Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema Bara la Africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!

 
Kuana jarida linatembea kwa kasi sana wachina wanasema wao asili yao ni Afrika na DNA inathibitisha hilo.

Kuna mdau alipost humu.
Unaona sasa....daaah... na kuna thread humu ipo kitetesi lakini, kwamba jamaa wanachimba madinj vinaya mno. Sema kama wanafata taratibu na kulipa kodi sio mbaya. Ni wawekezaji
 
Majengo yaliyo na apartments nyingi Dar es salaam wanamiliki wao pia.
Duuuh hatari sana hii... Ila labda ndio uwekezaji...

Shida ya wachina ni wajanja wajanja sana kwenye kulipa kodi. Laiti kama wangekua wanalipa kodi stahiki kwa wakati bila janja janja ya kushirikiana na watu wetu, hakika kwa uwekezaji wao tungekua tumenufaika sana. Sema ndo hivyo tu, tumuachie Mungu!!
 
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele? Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...
Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema bara la africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng??? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Intelejensia ya China ipo juu sana.
Serikali yetu inatuuza kirahisi kwa Wachina
 
Bora waje tuendelee china miaka 1950/60 ilikuwa sawa na nchi nyingi mno za kiafrika Sasa sie tuko pale pale ,cheki saizi ipo juu kisa cha weupe.
Cheki mwigulu hana namna ya kutafuta mapato Bali anakamua wanachi kwa tozo. Bora angepambana tukalima tukafuga kisasa ili tufanye exportation hata tunapata za kigeni. Yaani afrika acha kabisa naona Bora tuzaliane.tupoteze I'd ya black Kama walivyofanya huko Argentina
 
Bora waje tuendelee china miaka 1950/60 ilikuwa sawa na nchi nyingi mno za kiafrika Sasa sie tuko pale pale ,cheki saizi ipo juu kisa cha weupe.
Cheki mwigulu hana namna ya kutafuta mapato Bali anakamua wanachi kwa tozo. Bora angepambana tukalima tukafuga kisasa ili tufanye exportation hata tunapata za kigeni. Yaani afrika acha kabisa naona Bora tuzaliane.tupoteze I'd ya black Kama walivyofanya huko Argentina
Waje sawa, lakini kwa wingi na spidi yao na madhaifu yetu watanzania/waafrika huoni kwamba tunakaribisha ukoloni mamboleo na mambozamani??
 
Back
Top Bottom