Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaEm tulia uelezee vizuri tuelewe!
Imekuaje kuaje yani?
True aende polisiFika Kituo Chochote Cha Police Toa Taarifa
Iigiipii Camilius Wambura Amefanya Geshi Mtandao Atapatikana Haraka Huyo Taperi
Umepigwa kizembe Mwaisa, ndio maana unaona makampuni yanatumia LC ni bank to bank ndio zinalipana.Umemaliza kucheka??
Wewe ni kabila gani?? ,na kama ni Muha ni Muha wa wap?? Au msukuma wa wapi?Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Nigerian😅Huyo Ni Mkenya hakuna Thailand hapo
Ulituma hela kwa njia gani ? ulinitumia platform ipi kutuma pesa yakoHabari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Ukitaka kufanya biashara za nje pata elimu kwanzaKama kuna kutumia hela tena nimeshakua mweupe peeh!!
Wasukuma wamekufanya nini jamani 🤣🤣🤣🤣Wewe ni kabila gani?? ,na kama ni Muha ni Muha wa wap?? Au msukuma wa wapi?
Pole sana .. Upo wapi ? ili usitumie gharama ya ziada . tumroge tu.. ukitaka mganga wa uhakika njoo PMKama kuna kutumia hela tena nimeshakua mweupe peeh!!
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Tajiri mbona hupoke simu
Tajir Halooo Tajir Haloooo
Tajir kapigwa [emoji1787]
Ahahah🤣🤣🤣🤣Pole sana .. Upo wapi ? ili usitumie gharama ya ziada . tumroge tu.. ukitaka mganga wa uhakika njoo PM