Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Duh..tukiwaambia tuwasaidie huwa mnajifanya wajuaji acha akili ziwakae sawa.
 
Unaacha kwenda trusted entities za kuagiza mizigo kama ebay,alibaba nk kisha unaagiza kwa "Unknown Person"? How come ulimuamini?

Hapo umeshaliwa mama, japo ni ngumu kumeza ila jikaze tuu ili uendelee na maisha mengine..
Huyu ni mtu WA pili anatapeliwa rimu
Kuna jamaa yangu mpaka Leo rimu hazijafika
 
Kilasiku nasema WaTz ni maandazi washamba wapuuzi mnaishia kunitukana... WaTz mnajifanya mnajua while you know nothing πŸ˜…πŸ€£πŸ’©πŸ’©πŸ’© imeisha hiyo vaa uende
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ yanii jamaa umenichekeshaa balaaa... yani daah AISEE ETI vaa uendeeee
 
Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Hiyo pesa ulimtumia kwenye akaujti ya ktz au? Utakuwa umetapeliwa na muwest bila shaka
 
Ukitaka gari Be forward wapo na wana ofisi ocean road, huwezi kutapeliwa.

Au kama utaki usumbufu unakwenda show room tu, pesa inazidi kidogo lakini unaepuka mengi.
Yani hiyo nzurii aisee ilaa kutuma mamilion Mtandaoni siweziii.. Uko alibaba tu huwa siaminii nimekuwa tomasoo sanaa toka Nipigwee kihela changu mtandaoni sirudiii
 
Back
Top Bottom