Nilijua wanaijeria ndio wenye uwezo mkubwa kwenye nyanja hiyo tu,kumbe umeweza kutapeliwa hata na Mthai 😂.Au ulileweshwa na moja ya movie zao😀Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
N'a wewe unamtapeli tena...Pole sana .. Upo wapi ? ili usitumie gharama ya ziada . tumroge tu.. ukitaka mganga wa uhakika njoo PM
Acha kumsingizia jirani yetu,vipi kama ni mnaijeria😂Huyo Ni Mkenya hakuna Thailand hapo
Ulitaka kununua kupitia Site gani!?Ni yake ilikua ya Thailand mkuu na hela nimetumia western union kumtumia
Asante sana kwa kunitia moyo , be blessedNakushauri kubaliana na hali. Hiyo ndo imeshaenda. Kwenye maisha ya upambanaji ni kitu cha kawaida kutokea. Mwaka 2019 kuna mama aliliwa kama 108m na sio kwamba hata alituma pesa.. alienda kabisa China kwenye ofisi zao kuagiza mzigo. Kontena zimefika hazina rim hata moja bali matakataka kama mawe na makaratasi. Karibu tumpoteze ila akajipanga upya na sasa hivi yuko njema kifedha kuliko mwanzoni. WAPUUZE wanaocheka hapa kwasababu watu wa aina hiyo ni maskini hawajui mambo ya upambanaji. POLE SANA NDUGU
Daah hatarii sanaaa... polenii!!Nakushauri kubaliana na hali. Hiyo ndo imeshaenda. Kwenye maisha ya upambanaji ni kitu cha kawaida kutokea. Mwaka 2019 kuna mama aliliwa kama 108m na sio kwamba hata alituma pesa.. alienda kabisa China kwenye ofisi zao kuagiza mzigo. Kontena zimefika hazina rim hata moja bali matakataka kama mawe na makaratasi. Karibu tumpoteze ila akajipanga upya na sasa hivi yuko njema kifedha kuliko mwanzoni. WAPUUZE wanaocheka hapa kwasababu watu wa aina hiyo ni maskini hawajui mambo ya upambanaji. POLE SANA NDUGU
Hii biashara ya karatasi inaonekana ina utapeli mwingi yaani kontena zima duhNakushauri kubaliana na hali. Hiyo ndo imeshaenda. Kwenye maisha ya upambanaji ni kitu cha kawaida kutokea. Mwaka 2019 kuna mama aliliwa kama 108m na sio kwamba hata alituma pesa.. alienda kabisa China kwenye ofisi zao kuagiza mzigo. Kontena zimefika hazina rim hata moja bali matakataka kama mawe na makaratasi. Karibu tumpoteze ila akajipanga upya na sasa hivi yuko njema kifedha kuliko mwanzoni. WAPUUZE wanaocheka hapa kwasababu watu wa aina hiyo ni maskini hawajui mambo ya upambanaji. POLE SANA NDUGU
Wa Nigeria huwa wanawaibia Wakenya na Wakenya wanawaibia WatanzaniaAcha kumsingizia jirani yetu,vipi kama ni mnaijeria😂
Acha basiUmezoea kudanganywa wengine hatupo hivyo
Hata sio mkenya mkuu mikocheni masaki na Upanga Kuna Wanaigeria kibao wanaishi kwenye Apartment kali sana hawajulikani Wanafanya kazi gani na wanakula bata kinyama.Huyo Ni Mkenya hakuna Thailand hapo
Kwa hiyo ni kuangalia viwango vya umbumbumbu tu sio😂😂😂Wa Nigeria huwa wanawaibia Wakenya na Wakenya wanawaibia Watanzania
Sasa kama wanaweza vuna toka kwambumbu tena bila jasho kwanini wasilebata 🦆Hata sio mkenya mkuu mikocheni masaki na Upanga Kuna Wanaigeria kibao wanaishi kwenye Apartment kali sana hawajulikani Wanafanya kazi gani na wanakula bata kinyama.