Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

Ulikutana nae katika Platform gani ?; Ulipataje contact ?, Contact zake ni Zipi na Pesa ulituma kwa nani / Kampuni gani

Hata isipokusaidia wewe kurudisha pesa huenda ikamsaidia mwingine asitapeliwe na huyu scammer au kama kuna identity theft mtu asiendelee kuchakufuliwa ID yake na hao scammers
 
Ulikutana nae katika Platform gani ?; Ulipataje contact ?, Contact zake ni Zipi na Pesa ulituma kwa nani / Kampuni gani

Hata isipokusaidia wewe kurudisha pesa huenda ikamsaidia mwingine asitapeliwe na huyu scammer au kama kuna identity theft mtu asiendelee kuchakufuliwa ID yake na hao scammers
Mtandaoni mkuu,
 
Mtandaoni mkuu,
Hata huu ni mtandao; Contacts zake ni zipi pesa ulituma wapi ? kwenye namba gani / electronic money / bank transfer au medium ipi ? ali-act kama kampuni au individual; kama ulikutana nae kwenye platform ya biashara mlipoti na huko ili asiendelee kuwatia hasara raia wengine....
 
Hata huu ni mtandao; Contacts zake ni zipi pesa ulituma wapi ? kwenye namba gani / electronic money / bank transfer au medium ipi ? ali-act kama kampuni au individual; kama ulikutana nae kwenye platform ya biashara mlipoti na huko ili asiendelee kuwatia hasara raia wengine....
+66 64 264 1701 hizo ndo number zake mkuu, anaitwa Penyada Noiainta
 
Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Umepigwa
 
Niko nachat nae hapaa huyu mtailand[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] anajibu msg kabisaa hata namba hajabadilishaaa
 
Back
Top Bottom