Wakuu nina wazo

Mi unadhani hata mshenzy mshenzy basi kama unavyonichukulia Mimi nasimamimia ukweli tu,ambao hata ukimuacha huyo uliyenae ukaenda kwenye sample za Adela lazima tu utapigwa kizinga,LAZIMAAA,niamini Kuna siku utanikumbuka.....hapo wanazuga tu
Kuhudumiwa sio tatzo ila sio kindez ndez kama huyu dem anavyotala
 

Mwanamke usiyeendana naye unatakiwa kumchuja mapema sana. Hapa inaonekana unaendekeza "sitaki nataka".

Kuwa na mwanamke masikini wa hali na mali ni kualika umasikini uendelee maisha yote kwako pia.
 
Mi unadhani hata mshenzy mshenzy basi kama unavyonichukulia Mimi nasimamimia ukweli tu,ambao hata ukimuacha huyo uliyenae ukaenda kwenye sample za Adela lazima tu utapigwa kizinga,LAZIMAAA,niamini Kuna siku utanikumbuka.....hapo wanazuga tu
Kuna mizinga halafu kuna nuclear annihilation.

Yani mwanamme mwenyewe maisha anajipanga bado halafu anaombwa iPhone, kabla hajajipanga iPhone anaombwa kodi.

Hilo penzi au biashara?
 
Kuna mizinga halafu kuna nuclear annihilation.

Yani mwanamme mwenyewe maisha anajipanga bado halafu anaombwa iPhone, kabla hajajipanga iPhone anaombwa kodi.

Hilo penzi au biashara?
Nimeshangaa sana mkuu
 
[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
UOngo upi hii ni fact alikuja kwangu jumapili mchana tukaondoka wote jumatatu asubuh kwenda makazini
Misso Misondo ushaanza fix 🤣🤣🤣
Ww ungekuwa na jeuri ya kummudu usingeleta uzi wa kushauriwa hapa
 
Hawa kausha damu mbona wengine hatuwapati tuwape maneno yao?

Yani tunapata wanawake wana heshima mpaka inakera 🤣🤣🤣
Mtu unamuita anarequedt bolt 1500/2000 anataka umlipie
Duh ni hatare
Ila mimi naona mwanamke anaekupenda haombi ela kwani kabla yako alikuwa na wazazi,maisha na mengine yalikua yanaendelea
Kwa mfano kama hapo mtoa mada kasema aliomba elfu 30 ya nauli ina maana asingepeea hiyo 30 asingeenda kazini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…