Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Manyanza hi πHaya bhana π€
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manyanza hi πHaya bhana π€
Umemmiss swahiba wako?πManyanza hi π
Nipo na Dada hapa hebu kuwa na adabu hata kidogo kama punje ya ulezi πππManyanza hi π
Manyanza huyu kila siku ananipa mahubiri yake, ananichoshaga tyuuu!! π€£π€£π€£Umemmiss swahiba wako?π
ππππUmemmiss swahiba wako?π
Nimetamani nikujibu kwa voice note π€£π€£π€£Nipo na Dada hapa hebu kuwa na adabu hata kidogo kama punje ya ulezi πππ
Sio km shipa? πππππ
Swahiba mjuaji na Mbishi kama Mbuzi ππππ
Jirekodi tu halafu attach kama una attach audioNimetamani nikujibu kwa voice note π€£π€£π€£
Ngoja nirecord halafu niitume mana nahisi sifaidi kucheka kabisaaa πππ
Usikimbie nna base π€£π€£π€£Jirekodi tu halafu attach kama una attach audio
Huyo ameshakufanya ATM wake. Ukitaka kufa kwa stress na kufupisha maisha ya kuishi endelea naye, lakini huyo siyo mwanamke wa kuwa naye kwenye mahusiano. Kama ulivyosema hapa mwishoni, jirudishe kijanja umkunje ipasavyo mara ya mwisho na kupotea.Nipo na mahusiano na binti mmoja mrembo tu. Tukaanza mahusiano tatzo yule binti anaonekana yupo kimaslahi. Pesa za matumizo huwa nina mpa japo ana kiajira chake.
Siku moja tumepanga meeting somewhere in sinza binti akaja but anaonekana ayupo oky halafu yupo bize na simu.
Nikamuuliza vipi mbona kama aupo sawa akasema yupo oky but 4sure hakuwa sawa. Yani tupo wote lakini akili yake ipo kwengine bac akaagiza msosi akala akasema anawahi home nikamwabia sawa. Nikampa pesa kidogo akaondoka baadae akanitumia txt kuwa kuna kitu anataka tuzungumze nikamwambia sawa.
Usiku wake akaniambia kodi imeisha pia simu yake ya iphone x imeishiwa betri na ataki tena simu hiyo lengo lake ni kufanya top up apate simu nyingine nkamwambia sawa bac tutachek.
Ila baada ya hapo huyo demu amekuwa ayuko happy juzi kati tena kanikumbusha nikamwambia saiz bado sipo fresh nina majukumu kidogo yamenibana akaanza kuongea vitu vingi kwamba sijawahi mfanyia chochote kikubwa nikamwambia mbona unaharaka mahusiano yetu mbona bado machanga una haraka gani.
Basi yakaisha ila toka siku hiyo huyo dem kabadilika juzi aliniambia hana nauli ya kwenda job nikamtumia 30k hata ahsante akusema nikishawahi kumgegeda mara moja na kiukweli nilikuwa na mipango ya yeye kumfanya kama mchumba wangu ila kanishinda saiz atuongei na kwa kweli kumuacha hivi siwezi sababu ni gold diger naona nijirudi kwake kwa kumuahidi kodi upya kwake nimgonge mara ya mwisho halafu namdump mazima. Japo sikuwa na lengo hilo ila ngoja nimkomoe.
π€£π€£π€£π€£ umeanza mfyuuuu!!!Hiki kicheko mbona kama zile jingle za vichekesho vya Wachina? πππ
Mmmh watu mnamaneno sanaM
Mwandiko wa kike huu kabisa yani
Chinese jingles ππππ€£π€£π€£π€£ umeanza mfyuuuu!!!
Kwendraaaa π€£π€£π€£π€£Chinese jingles πππ
Wanawake mmevurugwa kimfumo.Ila all in all sisi wanawake wa ukanda huu tuseme subsaharan eee kiwango cha mapenzi kinapimwa na kiwango cha maokoto
K si zina utamu huo huo? Au hiyo class ya juu ina ladha ya vanila?Demu kagundua huyo mwanaume sio class yake kaamua kumtafutia muacho kimtindo, sasa umkute demu anamiliki gheto halafu utegemee kumuhonga pesa mbuzi km mwanafunzi kweli??
Yy atafute demu anayekaa kwao ndio atammudu akimpa laki kwa mwezi atacheka muda woteβ¦!!! Hao wapambanaji sio size yake ss hivi, aendelee kujitafuta.
π€£π€£π€£Eti mbuziππππ
Swahiba mjuaji na Mbishi kama Mbuzi ππππ