Wakuu nina wazo

Wakuu nina wazo

Nipo na Dada hapa hebu kuwa na adabu hata kidogo kama punje ya ulezi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimetamani nikujibu kwa voice note 🀣🀣🀣
Ngoja nirecord halafu niitume mana nahisi sifaidi kucheka kabisaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hiki kicheko mbona kama zile jingle za vichekesho vya Wachina? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nipo na mahusiano na binti mmoja mrembo tu. Tukaanza mahusiano tatzo yule binti anaonekana yupo kimaslahi. Pesa za matumizo huwa nina mpa japo ana kiajira chake.

Siku moja tumepanga meeting somewhere in sinza binti akaja but anaonekana ayupo oky halafu yupo bize na simu.

Nikamuuliza vipi mbona kama aupo sawa akasema yupo oky but 4sure hakuwa sawa. Yani tupo wote lakini akili yake ipo kwengine bac akaagiza msosi akala akasema anawahi home nikamwabia sawa. Nikampa pesa kidogo akaondoka baadae akanitumia txt kuwa kuna kitu anataka tuzungumze nikamwambia sawa.

Usiku wake akaniambia kodi imeisha pia simu yake ya iphone x imeishiwa betri na ataki tena simu hiyo lengo lake ni kufanya top up apate simu nyingine nkamwambia sawa bac tutachek.

Ila baada ya hapo huyo demu amekuwa ayuko happy juzi kati tena kanikumbusha nikamwambia saiz bado sipo fresh nina majukumu kidogo yamenibana akaanza kuongea vitu vingi kwamba sijawahi mfanyia chochote kikubwa nikamwambia mbona unaharaka mahusiano yetu mbona bado machanga una haraka gani.

Basi yakaisha ila toka siku hiyo huyo dem kabadilika juzi aliniambia hana nauli ya kwenda job nikamtumia 30k hata ahsante akusema nikishawahi kumgegeda mara moja na kiukweli nilikuwa na mipango ya yeye kumfanya kama mchumba wangu ila kanishinda saiz atuongei na kwa kweli kumuacha hivi siwezi sababu ni gold diger naona nijirudi kwake kwa kumuahidi kodi upya kwake nimgonge mara ya mwisho halafu namdump mazima. Japo sikuwa na lengo hilo ila ngoja nimkomoe.
Huyo ameshakufanya ATM wake. Ukitaka kufa kwa stress na kufupisha maisha ya kuishi endelea naye, lakini huyo siyo mwanamke wa kuwa naye kwenye mahusiano. Kama ulivyosema hapa mwishoni, jirudishe kijanja umkunje ipasavyo mara ya mwisho na kupotea.
 
Mimi ninataka nijifunze kwa watu kama hawa demu akiomba hela tu unampa. Mimi kiukweli ni mgumu sana kutoa hela yangu kienyeji enyeji tu. Na hela ikinitoka ninapata homa kabisa na akili inakuwa haikai sawa.
 
Ila all in all sisi wanawake wa ukanda huu tuseme subsaharan eee kiwango cha mapenzi kinapimwa na kiwango cha maokoto
Wanawake mmevurugwa kimfumo.

Kuolewa mnatolewa maokoto yanaitwa mahari.

Kimfumo mmeshawekewa kuwa nyie ni bidhaa inayouzwa.

Sasa hapo msichana akiona mapenzi ni sehemu ya kupata maokoto utamlaumu vipi?

Utamlaumu vipi ikiwa hata kuolewa anatolewa maokoto ya mahari yanajulikana kabisa kimila na usipolipa haikubaliki kabisa?
 
Demu kagundua huyo mwanaume sio class yake kaamua kumtafutia muacho kimtindo, sasa umkute demu anamiliki gheto halafu utegemee kumuhonga pesa mbuzi km mwanafunzi kweli??

Yy atafute demu anayekaa kwao ndio atammudu akimpa laki kwa mwezi atacheka muda wote…!!! Hao wapambanaji sio size yake ss hivi, aendelee kujitafuta.
K si zina utamu huo huo? Au hiyo class ya juu ina ladha ya vanila?
 
Back
Top Bottom