Wakuu nipeni mbinu za kukwepa kumnunulia demu bia night club

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Wakuu nipeni msaada,,ishu ni hivi kuna mademu ukienda night club huwabambii bila kuwanunulia bia ,sasa naombeni mnipe msaada wenu nifanyaje ili niwabambie bila kuwanunulia bia maana muda mwingine unapata demu mzuuuuri takoo laini halafu anakuomba umnunulie bia ili umfaidi lakini kidume muda huo mfuko umechacha yani mavumba huna kabisa na kumuachia mtoto aende zake huwezi

Nipeni mbinu wakuu juu ya suala hili.
 
Subiri anunuliwe na wengine akishalewa unashikilia.

Ila usawa kama hausomi si uende tu kwenye vigodoro kule pia wa kubambia wapo.
aah wakilewa wanazidi kuwa wakali hawataki kuguswa kabisa,,,,,halafu kwenda kwenye hayo magodoro ya uswahilini siwezi

Kwanza hamna madem pili kuna wavuta bangi na wakabaji hivyo hakuna usalama.
 
Mi nadhani solution kubwa hapo ni kupata msaada wa jinsi ya kupata pesa ili hata wakitaka bia wanywe hadi waoge, kama hilo ni gum basi upate msaada wa kutotaman kuwabambia bambia. Hilo uliloomba wewe haliwezekani kabisa na ni ngum.
 
Mi nadhani solution kubwa hapo ni kupata msaada wa jinsi ya kupata pesa ili hata wakitaka bia wanywe hadi waoge, kama hilo ni gum basi upate msaada wa kutotaman kuwabambia bambia. Hilo uliloomba wewe haliwezekani kabisa na ni ngum.
Hakuna linaloshindikana chini ya jua.
 
Subiri anunuliwe na wengine akishalewa unashikilia.

Ila usawa kama hausomi si uende tu kwenye vigodoro kule pia wa kubambia wapo.
Kweli anae kutukana hakuchagulii tusi.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Samahani, nimejikuta nawaza tu
 
MKUU UNAPOINGIA CLUB JAMBO LA KWANZA KUFANYA

1.KAA MBALI NA MADEMU WAZULI WE KAA SEHEMU WASHA FEGI UANZE KUVUTA.

2.BAADA YA DAKIKA 30 AGIZA KINYWAJI CHA KWANZA UTULIE ZAKO NA KAA MBALI NA MADEMU WAZULI.

3.IKIFIKA MUDA KUANZIA SAA KUMI KUELEKEA SAA KUMI NA MOJA INGIA KWENYE DANCEFALL HALAFU TAFUTA DEMU WA KUCHEZA NAEE.

4.KUANZIA MIDA YA SAA 10 HADI 11 MADEMU WENGI WANAKUWA WAMESHALEWA POMBE HIVYO MIDA HIYO MADEMU WENGI HUTAFUTA WANAUME WA KWENDA KULALA NAO HAWEZI KUKUOMBA POMBE
 
Big up mwanangu ,,nimependa ushauri wako.
 

KANJUNJU john wa Yanga [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…