Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
aah wakilewa wanazidi kuwa wakali hawataki kuguswa kabisa,,,,,halafu kwenda kwenye hayo magodoro ya uswahilini siweziSubiri anunuliwe na wengine akishalewa unashikilia.
Ila usawa kama hausomi si uende tu kwenye vigodoro kule pia wa kubambia wapo.
Mi nadhani solution kubwa hapo ni kupata msaada wa jinsi ya kupata pesa ili hata wakitaka bia wanywe hadi waoge, kama hilo ni gum basi upate msaada wa kutotaman kuwabambia bambia. Hilo uliloomba wewe haliwezekani kabisa na ni ngum.Wakuu nipeni msaada,,ishu ni hivi kuna mademu ukienda night club huwabambii bila kuwanunulia bia ,sasa naombeni mnipe msaada wenu nifanyaje ili niwabambie bila kuwanunulia bia maana muda mwingine unapata demu mzuuuuri takoo laini halafu anakuomba umnunulie bia ili umfaidi lakini kidume muda huo mfuko umechacha yani mavumba huna kabisa na kumuachia mtoto aende zake huwezi
Nipeni mbinu wakuu juu ya suala hili.
Ficha ujinga wako.Mbinu nikuokoka tu
Kwa hiyo maneno ya kuwalaghai hamna?Huwa hawakubali kirahisi rahisi..Labda alewe chakari ndio utachezea hadi basi
Hakuna linaloshindikana chini ya jua.Mi nadhani solution kubwa hapo ni kupata msaada wa jinsi ya kupata pesa ili hata wakitaka bia wanywe hadi waoge, kama hilo ni gum basi upate msaada wa kutotaman kuwabambia bambia. Hilo uliloomba wewe haliwezekani kabisa na ni ngum.
Hahahahaaaaaaa okoka mkuuFicha ujinga wako.
Kweli anae kutukana hakuchagulii tusi.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Subiri anunuliwe na wengine akishalewa unashikilia.
Ila usawa kama hausomi si uende tu kwenye vigodoro kule pia wa kubambia wapo.
Kwa habari ya kuokoka jamaa kawa mbogoHahahahaaaaaaa okoka mkuu
[emoji16][emoji16] ushi acha uchonganishiiKweli anae kutukana hakuchagulii tusi.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Samahani, nimejikuta nawaza tu
Big up mwanangu ,,nimependa ushauri wako.MKUU UNAPOINGIA CLUB JAMBO LA KWANZA KUFANYA
1.KAA MBALI NA MADEMU WAZULI WE KAA SEHEMU WASHA FEGI UANZE KUVUTA.
2.BAADA YA DAKIKA 30 AGIZA KINYWAJI CHA KWANZA UTULIE ZAKO NA KAA MBALI NA MADEMU WAZULI.
3.IKIFIKA MUDA KUANZIA SAA KUMI KUELEKEA SAA KUMI NA MOJA INGIA KWENYE DANCEFALL HALAFU TAFUTA DEMU WA KUCHEZA NAEE.
4.KUANZIA MIDA YA SAA 10 HADI 11 MADEMU WENGI WANAKUWA WAMESHALEWA POMBE HIVYO MIDA HIYO MADEMU WENGI HUTAFUTA WANAUME WA KWENDA KULALA NAO HAWEZI KUKUOMBA POMBE
Peleka jukwaa la dini masuala ya kuokoka.Hahahahaaaaaaa okoka mkuu
Nimeacha comrade....[emoji16][emoji16] ushi acha uchonganishii
Wakuu nipeni msaada,,ishu ni hivi kuna mademu ukienda night club huwabambii bila kuwanunulia bia ,sasa naombeni mnipe msaada wenu nifanyaje ili niwabambie bila kuwanunulia bia maana muda mwingine unapata demu mzuuuuri takoo laini halafu anakuomba umnunulie bia ili umfaidi lakini kidume muda huo mfuko umechacha yani mavumba huna kabisa na kumuachia mtoto aende zake huwezi
Nipeni mbinu wakuu juu ya suala hili.
[emoji124] [emoji124] [emoji124]Nimeacha comrade....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Amefanyaje? Kafa ?KANJUNJU john wa Yanga [emoji23] [emoji23] [emoji23]