Wakuu nipeni mbinu za kukwepa kumnunulia demu bia night club

Wakuu nipeni mbinu za kukwepa kumnunulia demu bia night club

[emoji16][emoji16] ushi acha uchonganishii
Alafu mbona wewe sioni ukimalizia bandiko kwa

Cc: jinsia pendwa....[emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Screenshot_2017-04-30-14-43-22_1.jpg
 
Alafu mbona wewe sioni ukimalizia bandiko kwa

Cc: jinsia pendwa....[emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23] unanitafutia ban.

Cc huo ushamba uliopitiliza. Halafu kwani mimi mvulana kwani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] unanitafutia ban.

Cc huo ushamba uliopitiliza. Halafu kwani mimi mvulana kwani?
Basi amigo......[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja nwahi ibada ya jioni....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Basi amigo......[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja nwahi ibada ya jioni....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Haya bwana
Cc ngoja nitoke humu
 
Subiri anunuliwe na wengine akishalewa unashikilia.

Ila usawa kama hausomi si uende tu kwenye vigodoro kule pia wa kubambia wapo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kama hauna hela hata ya bia moja kilabu unafata nini?Dawa ni kwenda siku ambazo una pesa ya kutosha.
 
MKUU UNAPOINGIA CLUB JAMBO LA KWANZA KUFANYA

1.KAA MBALI NA MADEMU WAZULI WE KAA SEHEMU WASHA FEGI UANZE KUVUTA.

2.BAADA YA DAKIKA 30 AGIZA KINYWAJI CHA KWANZA UTULIE ZAKO NA KAA MBALI NA MADEMU WAZULI.

3.IKIFIKA MUDA KUANZIA SAA KUMI KUELEKEA SAA KUMI NA MOJA INGIA KWENYE DANCEFALL HALAFU TAFUTA DEMU WA KUCHEZA NAEE.

4.KUANZIA MIDA YA SAA 10 HADI 11 MADEMU WENGI WANAKUWA WAMESHALEWA POMBE HIVYO MIDA HIYO MADEMU WENGI HUTAFUTA WANAUME WA KWENDA KULALA NAO HAWEZI KUKUOMBA POMBE
Nimekubali msela wa Manzese.Upo vizuri.
 
Kama hauna hela hata ya bia moja kilabu unafata nini?Dawa ni kwenda siku ambazo una pesa ya kutosha.
Muda mwingine inatokea hela unakuwa ushazinywea bia za kutosha halafu anakuja mtoto kukuomba na yeye umnunulie ili akusambazie raha.
 
Muda mwingine inatokea hela unakuwa ushazinywea bia za kutosha halafu anakuja mtoto kukuomba na yeye umnunulie ili akusambazie raha.
Bado Hujaachaga ule ujinga wako house gelo wenu mmefikia wap ndiyo maana jamaa kakuambia okoka umemaliza chuo? Supplementary vp umeclear dogo acha upang'ang'a usifkr wote humu ni vitoto kama ww
 
Bado Hujaachaga ule ujinga wako house gelo wenu mmefikia wap ndiyo maana jamaa kakuambia okoka umemaliza chuo? Supplementary vp umeclear dogo acha upang'ang'a usifkr wote humu ni vitoto kama ww
We fala usinishobokee

Wewe punga nini?
 
MKUU UNAPOINGIA CLUB JAMBO LA KWANZA KUFANYA

1.KAA MBALI NA MADEMU WAZULI WE KAA SEHEMU WASHA FEGI UANZE KUVUTA.

2.BAADA YA DAKIKA 30 AGIZA KINYWAJI CHA KWANZA UTULIE ZAKO NA KAA MBALI NA MADEMU WAZULI.

3.IKIFIKA MUDA KUANZIA SAA KUMI KUELEKEA SAA KUMI NA MOJA INGIA KWENYE DANCEFALL HALAFU TAFUTA DEMU WA KUCHEZA NAEE.

4.KUANZIA MIDA YA SAA 10 HADI 11 MADEMU WENGI WANAKUWA WAMESHALEWA POMBE HIVYO MIDA HIYO MADEMU WENGI HUTAFUTA WANAUME WA KWENDA KULALA NAO HAWEZI KUKUOMBA POMBE
Loud and clear
 
Wakuu nipeni msaada,,ishu ni hivi kuna mademu ukienda night club huwabambii bila kuwanunulia bia ,sasa naombeni mnipe msaada wenu nifanyaje ili niwabambie bila kuwanunulia bia maana muda mwingine unapata demu mzuuuuri takoo laini halafu anakuomba umnunulie bia ili umfaidi lakini kidume muda huo mfuko umechacha yani mavumba huna kabisa na kumuachia mtoto aende zake huwezi

Nipeni mbinu wakuu juu ya suala hili.

Sasa unaendaje club huna kitu huoni Ni hatari sana utanunuliwa wewe bia ubambiwe
 
MKUU UNAPOINGIA CLUB JAMBO LA KWANZA KUFANYA

1.KAA MBALI NA MADEMU WAZULI WE KAA SEHEMU WASHA FEGI UANZE KUVUTA.

2.BAADA YA DAKIKA 30 AGIZA KINYWAJI CHA KWANZA UTULIE ZAKO NA KAA MBALI NA MADEMU WAZULI.

3.IKIFIKA MUDA KUANZIA SAA KUMI KUELEKEA SAA KUMI NA MOJA INGIA KWENYE DANCEFALL HALAFU TAFUTA DEMU WA KUCHEZA NAEE.

4.KUANZIA MIDA YA SAA 10 HADI 11 MADEMU WENGI WANAKUWA WAMESHALEWA POMBE HIVYO MIDA HIYO MADEMU WENGI HUTAFUTA WANAUME WA KWENDA KULALA NAO HAWEZI KUKUOMBA POMBE
Kama huvuti fegi unafanyaje... Then unaomdoka na demu asubuhi saa 11 utamgegeda saa nhapi?
 
Back
Top Bottom