Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #81
Naomba mbinu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri mzuriMKUU UNAPOINGIA CLUB JAMBO LA KWANZA KUFANYA
1.KAA MBALI NA MADEMU WAZULI WE KAA SEHEMU WASHA FEGI UANZE KUVUTA.
2.BAADA YA DAKIKA 30 AGIZA KINYWAJI CHA KWANZA UTULIE ZAKO NA KAA MBALI NA MADEMU WAZULI.
3.IKIFIKA MUDA KUANZIA SAA KUMI KUELEKEA SAA KUMI NA MOJA INGIA KWENYE DANCEFALL HALAFU TAFUTA DEMU WA KUCHEZA NAEE.
4.KUANZIA MIDA YA SAA 10 HADI 11 MADEMU WENGI WANAKUWA WAMESHALEWA POMBE HIVYO MIDA HIYO MADEMU WENGI HUTAFUTA WANAUME WA KWENDA KULALA NAO HAWEZI KUKUOMBA POMBE
Namna pekee ya kukwepa ni kuacha kwenda clubWakuu nipeni msaada,,ishu ni hivi kuna mademu ukienda night club huwabambii bila kuwanunulia bia ,sasa naombeni mnipe msaada wenu nifanyaje ili niwabambie bila kuwanunulia bia maana muda mwingine unapata demu mzuuuuri takoo laini halafu anakuomba umnunulie bia ili umfaidi lakini kidume muda huo mfuko umechacha yani mavumba huna kabisa na kumuachia mtoto aende zake huwezi
Nipeni mbinu wakuu juu ya suala hili.
Zero IQWakuu nipeni msaada,,ishu ni hivi kuna mademu ukienda night club huwabambii bila kuwanunulia bia ,sasa naombeni mnipe msaada wenu nifanyaje ili niwabambie bila kuwanunulia bia maana muda mwingine unapata demu mzuuuuri takoo laini halafu anakuomba umnunulie bia ili umfaidi lakini kidume muda huo mfuko umechacha yani mavumba huna kabisa na kumuachia mtoto aende zake huwezi
Nipeni mbinu wakuu juu ya suala hili.