Wakuu nipeni mbinu za kukwepa kumnunulia demu bia night club

Wakuu nipeni mbinu za kukwepa kumnunulia demu bia night club

hapo we agiza zako bia tatu kisha tulia kwa meza yako watakuja wenyewe na utawabambia kiulani

nb: wengine bila bia tano halewi kwaiyo lazima mfuko uwe umetuna aswaaa
 
Subiri anunuliwe na wengine akishalewa unashikilia.

Ila usawa kama hausomi si uende tu kwenye vigodoro kule pia wa kubambia wapo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Meku ukienda Club jipange angalau umeishiwa sana uwe na 20,000 ya bia.Usikimbilie kununua pombe kwanza mana mademu wengine wakilewa wanakutoroka.Vuta pumzi usome mazingira usiwe na pupa.Madem wengine wana washkaji zao pale afu utashika mapembe.Nb Club hakuna demu wa bure
 
Kama huvuti fegi unafanyaje... Then unaomdoka na demu asubuhi saa 11 utamgegeda saa nhapi?
MKUU MIMI KWA UZOEFU WANGU TANGU NIANZE KWENDA CLUB NINACHOFAHAMU .....

MADEMU WENGI IKISHAFIKIA MIDA YA SAA KUMI KUELEKEA ASUBUHI MADEMU WENGI UJANJA HAWANA KABISAA.

KWA SABABU MUDA HUO WENGI WANAKUWA WAMELEWA SANA AKILI IMESHACHOKA NA MIILI YAO INAWATUMA KUPUMZIKA

HIVYO MIDA KAMA HIYO NDIO DEMU YOYOTE UKIZINGUA ANAINGIA LINE HIVYO WEE KAMA UNA HELA YA BAJAJI NA GUEST INATOSHA TUU KUONDOKA NAE.........

DEMU MWINGINE KAMA ATAKUWA AMEKUELEWA VIZULI BASI USISHANGAE UKAENDA KULALA GHETTO KWAKE .
 
Kajichubue uwe kama wanaume wa dara warembo labda watakushobo
 
Kama unataka looseball subiri kuanzia mida ya saa 10-11.Ila na wewe unaendaje kwenye starehe bila hela.unasherehekea ama kustarehe nini sasa kama uko majalala.Tulia home tu
 
aah wakilewa wanazidi kuwa wakali hawataki kuguswa kabisa,,,,,halafu kwenda kwenye hayo magodoro ya uswahilini siwezi

Kwanza hamna madem pili kuna wavuta bangi na wakabaji hivyo hakuna usalama.
Usipende starehe kama huna pesa mkuu utaliwa tako.
 
apo mkuu pagumu bila pesa labada uwe navuto kwa warembo ,pia hata saa 11 huwez sepa na demu km auna maneneo ya kudanganya
 
Sio lazima uwabambie,tafuta jamaa akubambie wewe[emoji125][emoji125][emoji125]
 
hii mbinu mkuu inanisaidiaga sana, afu km auna pesa usipende kuingia kudance kati km kuna demu umemtarget mana sheria za malaya wakiona mda wote uko kati kucheza afu una hata balimi ya kuzugia ni tatizo watajua uko majalala
 
Huu uzi si saizi yangu.
Mwenyewe kilevi sikijui sa nitaanzaje kumnunulia mtu.
 
Back
Top Bottom