Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninachokiona hapo tafsiri yaan uwekeze laki 5 kwa mwezi mmoja na upate 18k wakat riba ni 2.25%Unataka usaidiwe kivip?
Na unataka kuwekeza?ninachokiona hapo tafsiri yaan uwekeze laki 5 kwa mwezi mmoja na upate 18k wakat riba ni 2.25%
ni ndogo lakini ya uhakikaNa unataka kuwekeza?
Hio riba ya mwaka mbona ndogo sana?
Km umeamua kuweka tu kuepukana na risk sawa.
Nbcni ndogo lakini ya uhakika
ebu nipe sehemu yenye riba kubwa ambayo haina risk kubwa kama biashara
shida ni hyo tax ndo inamaliza kila kituNbc
Kwa mwaka umekosa 9%
hatarHeee mbona kidogo?
Wasema kweli? Kwa capital kiasi gani isije ikawa 100mil upwards ndio upewe hiyo rateNbc
Kwa mwaka umekosa 9%
400mill and above ndio utaenjoy fd.Fixed deposits zinafaa kwa Wenye pesa nyingi na hawana uhitaji ama udhibutu wa kuwekeza kwenye high generating projects.
Imagine unaweka 10m upate Laki 5 baada ya mwaka! What a waste!
UTT faida huwa asilimia ngapi?shida ni hyo tax ndo inamaliza kila kitu
mfano
10million
10,000,000 X9= 90,000,000
Tax 10%
90,000,000*10%=900,000 laki 9
wakati ukiweka UTT unapata milion 1.2
Kwa hiyo hela afadhali kufanya biashara yoyote ndogo kabisa,huwezi kula hasara kabisa mpaka mtaji wenyewe.hatar
Any amount from 500KWasema kweli? Kwa capital kiasi gani isije ikawa 100mil upwards ndio upewe hiyo rate
Sasa fanya maamuzi sahihishida ni hyo tax ndo inamaliza kila kitu
mfano
10million
10,000,000 X9= 90,000,000
Tax 10%
90,000,000*10%=900,000 laki 9
wakati ukiweka UTT unapata milion 1.2
Hii mukideAny amount from 500K