The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara risk mkuu. Na wengine ndio wanaogopa hio risk.400mill and above ndio utaenjoy fd.
Kwa sie wenye million 10-100 bora ufanye biashara tuu
Usijali mkuu ngoja kwanza hiki kikao changu hapa Zurich na jopo la ma-financial advisers wangu na wanasheria kiishe. Nikishapokea report yangu ya kodi na mambo ya kifedha kutoka Price water coopers na Ernest and young faster naingia kwenye account zangu za JP Morgan, HSBC, swiss Credit na Deutsche bank na kukusogezea mzigo wa 1B $ kumbuka hiyo siyo madafu.😁😁😁😁😁Mimi nashida na B1 tu mkuu, nisogezee niende BOT nikatengeneze mfumo wa maisha.
Sasa bila risk utapataje hela...lazima ujasirie sometimesBiashara risk mkuu. Na wengine ndio wanaogopa hio risk.
FD hata mtaji unaendelea kubaki vilevile haupotei
Kila mtu ana thoughts zake zinazomfanya a make decisions.Sasa bila risk utapataje hela...lazima ujasirie sometimes