Wakuu nisaidieni, hivi zamani pia jukumu la mwanaume lilikua pia kusaidia familia ya mkewe?

Wakuu nisaidieni, hivi zamani pia jukumu la mwanaume lilikua pia kusaidia familia ya mkewe?

Kama huna huna tu,usijaribu kusaidia watu wakati ndani mwako unaunguwa moto,hayo yote ya nini? Amua moja.
 
Wakuu thread tajwa izingatiwe.

Hata nikijaribu kujifariji, ila ukweli unasimamia kua, kuoa kunaongeza utegemezi Kwa mwanaume. Ili limepelekea wengi , hasa tunaotoka familia duni na uwezo wa kati kutopiga hatua mara baada ya kuoa.

Kuna wimbi kubwa sana la kijana wa kiume kubebeshwa majukumu kuliko uwezo wake. Haishangazi kuona vijana wako maofsini ila maisha wanayoishi ni magumu kuliko hata vijana wanaojitolea.

Ukitaka kudadisi mwenzetu shida nini, unaanza kumsikia kijana akiorodhesha mizigo inayomkausha damu. Utasikia wazee wangu nguvu zimeisha hivyo jukumu la well fare za home nimebebeshwa, na sio wazee tu hadi madogo wote macho kwangu. Zaidi sana hata wazee wa mwenzi wangu macho Yao yapo kwangu. Unavyoniona naishi hivi kifupi ni muujiza kama ambavyo mshara wa 60 wa walinzi Kwa mwezi unawezaje kuwatosha wao na familia zao. Japo tunajinadi uchumi umekua ila ukweli utegemezi bado ni mkubwa sana.

Wakuu mlio Iona Dunia hii Kwa muda mrefu hivi hata maisha ya zamani mwanaume alikua na jukumu la kulea wazazi wa mke ?
Kuna wakati fumba macho komaa na familia yako. Sio wakati wote usaidie. Neno kwa sasa sina halikuondelei utu au heshima
 
Shida mkipata ajira tu mnakimbilia kuoa...
Ati uvivu kufua,kupika na kupata sex muda wowote...mnasahau kuwa kufua hatafua nguo zako tu bali na zake pia,chakula vivyohivyo....
Na mwishowe mnakuja gundua sex hatutoi kilasiku au mtakavyo🥴😔
Hapana shida ni wivu wa kipuuzi kutotaka mke afanye kazi.

Shida ndogondogo huko kwao mke hawezi subiri mume anaclear tu mwenyewe.

Sasa umekimbilia kuoa na umeoa jobless lazima kikulambe.
 
Shida mkipata ajira tu mnakimbilia kuoa...
Ati uvivu kufua,kupika na kupata sex muda wowote...mnasahau kuwa kufua hatafua nguo zako tu bali na zake pia,chakula vivyohivyo....
Na mwishowe mnakuja gundua sex hatutoi kilasiku au mtakavyo🥴😔
Nisioe nikipata kazi?
 
Nimekuelewa na ubepar wenyewe tunaujua Kwa nadharia tu. Kumbe ubepari ni kukaza komwe kama hauoni vile.
..tafsri utakavyo, lakini Dunia ipo kwa style Moja ya life, my family first!!
 
Wakuu thread tajwa izingatiwe.

Hata nikijaribu kujifariji, ila ukweli unasimamia kua, kuoa kunaongeza utegemezi Kwa mwanaume. Ili limepelekea wengi , hasa tunaotoka familia duni na uwezo wa kati kutopiga hatua mara baada ya kuoa.

Kuna wimbi kubwa sana la kijana wa kiume kubebeshwa majukumu kuliko uwezo wake. Haishangazi kuona vijana wako maofsini ila maisha wanayoishi ni magumu kuliko hata vijana wanaojitolea.

Ukitaka kudadisi mwenzetu shida nini, unaanza kumsikia kijana akiorodhesha mizigo inayomkausha damu. Utasikia wazee wangu nguvu zimeisha hivyo jukumu la well fare za home nimebebeshwa, na sio wazee tu hadi madogo wote macho kwangu. Zaidi sana hata wazee wa mwenzi wangu macho Yao yapo kwangu. Unavyoniona naishi hivi kifupi ni muujiza kama ambavyo mshara wa 60 wa walinzi Kwa mwezi unawezaje kuwatosha wao na familia zao. Japo tunajinadi uchumi umekua ila ukweli utegemezi bado ni mkubwa sana.

Wakuu mlio Iona Dunia hii Kwa muda mrefu hivi hata maisha ya zamani mwanaume alikua na jukumu la kulea wazazi wa mke ?
Kwani ni lazima kuwasaidia? Wasaidie baba na mama yako kama hawana uwezo, upande baba na mama mke jiongeze tu akili kumkichwa
 
Kama mmoja tu ananitoa jasho hao watano si ntajiunga na M23
basi wasukuma waheshimiwe sana..
mtu ana wake wanne na kila mwanamke ana watoto saba...

wote wanakula wanashiba, wanapata huduma za afya vizuri na shule wanaenda..
 
Back
Top Bottom