Wakuu lile banda pale Muhimbili Bado lipo la kujifukiza naomba kujua maana naskia mzee wa Chapa ilale mara ya mwisho aliingizwa kwenye banda na ndo ikawa Mwisho wake.
Mimi nilitamani baada ya kuliondoa lile banda la kujifukiza pale Muhimbili basi lingepelekwa makumbusho ili vizazi vijavyo vije kujifunza upumbavu wa watawala wa kizazi hiki.
Mimi nilitamani baada ya kuliondoa lile banda la kujifukiza pale Muhimbili basi lingepelekwa makumbusho ili vizazi vijavyo vije kujifunza upumbavu wa watawala wa kizazi hiki.