Pre GE2025 Wakuu wa shule kumchangia fedha ya kuchukua fomu ya Urais Rais Samia 2025, hiki ni "kituko" cha kufungia mwaka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi yetu ujinga mwingi Sana. Yaani Jamaa wamepiga pesa za shule na hakuna wa kuwafuatilia wanaona ili tuendelee kuzipiga tumpiganie yuleyule dhaifu . Wajinga wakubwa Hawa. Vichwa kama kapu la mama.
 
Ndio japokwa kuchelewa ,sasa mwezi wa 12 wanapewa za mwezi wa10[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🪑
Zinakuwa hata hazinogi kabisa.

Enzi nasoma shule(Primary/Secondary) nilikuwa nawaona Walimu ni watu wenye maisha mazuri ila sasa naona tofauti sijui kwanini.

Kule kijijini Walimu walikuwa wanaheshimika sana na jamii yote
 
Wanapewa mkuu, wa sekondari na waratibu elimu kata 250,000/= wakuu wa shule za msingi 200,000/= nadhani na maafisa watendaji kata kila mwezi inaingia kwenye mifuko yao kutoka hazina
Sio mbaya, ila inatakiwa waamke wadai maslahi yao
 
Hii ni kutafuta kumjengea uhalali bi hadija ambaye kimsingi anatakiwa kumaliza muhula wake wa pili mwaka 2025, nasikitika kwamba uchawa kwenye taifa hili umeshakuwa donda ndugu.
 
Tatizo lipo kwa uongozi wa TAHOSSA sidhani kama walimu wakuu wote wameridhia.Hawa walimu wakuu wa shule zote za msingi na sekondari za Serikali na Private . Uongozi wa TAHOSSA unajua gharama ya fomu ya urais itauzwa bei gani au wanataka Maokoto yatakayobaki wajinufaishe
 
Watawachangia na nyie machadema Wala msiwaze 😁😁
 
Ndio maana kazi yao inadharauriwa na ina laana ya kiuchumi

Wengi wakijitahidi kujenga nyumba ya milioni 40 hadi 50 kwa kipindi cha miaka ishirini basi wanaridhika


Magari yao ni mengi ni ya mwaka 1998-2005

Mpwayungu was right
 

Nadhani Walimu nao wanahaki ya msingi kama raia wa kawaida kuonyesha Mahaba na Mapenzi wa Rais Wao


Nimechagua kuwa POSITIVE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…