Wakuu wa Wilaya kipindi cha Samia hawachapi kazi kabisaHawachapi kazi kama awamu ya 5

Wakuu wa Wilaya kipindi cha Samia hawachapi kazi kabisaHawachapi kazi kama awamu ya 5

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Kipindi kirefu sana sasa sijasikia DC amemsweka mtu ndani kwa saa 24 au 48

Kipindi cha Magufuli ilikuwa ni kawaida kusikia DC kamsweka mtu ndani sababu kadhaa

DC inakuita anakuhoji akiona umemzidi kwa hoja basi anaagiza uwekwe ndani..😂😂😂

Ilikuwa wafanyabishara, wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyakazi wa umma kama madaktari n.k wote walikuwa wahanga wa kuwekwa ndani


Nakumbuka kuna padri aliwekwa ndani kisa aliandika kitabu kuhusu changamoto za vijana wa Tanzania

Kuna askofu pia alishindwa kuvumilia hadi akamvaa Magufuli Ikulu kuhusu DC kumtia ndani mchungaji wa kanisa lake

Viongozi wa upinzani ndio walikuwa wakuu wa kadhia hii

Ama kweli Tanzania tumetoka mbali, Mungu Fundi

17/03/2023 Happy Liberation Day..
 
Kipindi kirefu sana sasa sijasikia DC amemsweka mtu ndani kwa saa 24 au 48

Kipindi cha Magufuli ilikuwa ni kawaida kusikia DC kamsweka mtu ndani sababu kadhaa

DC inakuita anakuhoji akiona umemzidi kwa hoja basi anaagiza uwekwe ndani..😂😂😂

Ilikuwa wafanyabishara, wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyakazi wa umma kama madaktari n.k wote walikuwa wahanga wa kuwekwa ndani


Nakumbuka kuna padri aliwekwa ndani kisa aliandika kitabu kuhusu changamoto za vijana wa Tanzania

Kuna askofu pia alishindwa kuvumilia hadi akamvaa Magufuli Ikulu kuhusu DC kumtia ndani mchungaji wa kanisa lake

Viongozi wa upinzani ndio walikuwa wakuu wa kadhia hii

Ama kweli Tanzania tumetoka mbali, Mungu Fundi

17/03/2023 Happy Liberation Day..
Hapo ndiyo kuna mstari kati ya utawala wa sheria dhidi ya utawala wa hovyo au wa kidikteta. Asante Mungu kwa kumtoa yule DIKTETA Magufuli
 
Kipindi kirefu sana sasa sijasikia DC amemsweka mtu ndani kwa saa 24 au 48

Kipindi cha Magufuli ilikuwa ni kawaida kusikia DC kamsweka mtu ndani sababu kadhaa

DC inakuita anakuhoji akiona umemzidi kwa hoja basi anaagiza uwekwe ndani..😂😂😂

Ilikuwa wafanyabishara, wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyakazi wa umma kama madaktari n.k wote walikuwa wahanga wa kuwekwa ndani


Nakumbuka kuna padri aliwekwa ndani kisa aliandika kitabu kuhusu changamoto za vijana wa Tanzania

Kuna askofu pia alishindwa kuvumilia hadi akamvaa Magufuli Ikulu kuhusu DC kumtia ndani mchungaji wa kanisa lake

Viongozi wa upinzani ndio walikuwa wakuu wa kadhia hii

Ama kweli Tanzania tumetoka mbali, Mungu Fundi

17/03/2023 Happy Liberation Day..
Ulitaka wapige makelele kama enzi za ule utawala wa ajabu?
 
Kipindi kirefu sana sasa sijasikia DC amemsweka mtu ndani kwa saa 24 au 48

Kipindi cha Magufuli ilikuwa ni kawaida kusikia DC kamsweka mtu ndani sababu kadhaa

DC inakuita anakuhoji akiona umemzidi kwa hoja basi anaagiza uwekwe ndani..[emoji23][emoji23][emoji23]

Ilikuwa wafanyabishara, wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyakazi wa umma kama madaktari n.k wote walikuwa wahanga wa kuwekwa ndani


Nakumbuka kuna padri aliwekwa ndani kisa aliandika kitabu kuhusu changamoto za vijana wa Tanzania

Kuna askofu pia alishindwa kuvumilia hadi akamvaa Magufuli Ikulu kuhusu DC kumtia ndani mchungaji wa kanisa lake

Viongozi wa upinzani ndio walikuwa wakuu wa kadhia hii

Ama kweli Tanzania tumetoka mbali, Mungu Fundi

17/03/2023 Happy Liberation Day..
Acha bangi
 
Yaani kabla ya kufungua uzi nilijua kabisa utakua tu umeandika pumba na sikukosea kabisa.

The Vampires
1678518982368.png
 
Kipindi kirefu sana sasa sijasikia DC amemsweka mtu ndani kwa saa 24 au 48

Kipindi cha Magufuli ilikuwa ni kawaida kusikia DC kamsweka mtu ndani sababu kadhaa

DC inakuita anakuhoji akiona umemzidi kwa hoja basi anaagiza uwekwe ndani..[emoji23][emoji23][emoji23]

Ilikuwa wafanyabishara, wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyakazi wa umma kama madaktari n.k wote walikuwa wahanga wa kuwekwa ndani


Nakumbuka kuna padri aliwekwa ndani kisa aliandika kitabu kuhusu changamoto za vijana wa Tanzania

Kuna askofu pia alishindwa kuvumilia hadi akamvaa Magufuli Ikulu kuhusu DC kumtia ndani mchungaji wa kanisa lake

Viongozi wa upinzani ndio walikuwa wakuu wa kadhia hii

Ama kweli Tanzania tumetoka mbali, Mungu Fundi

17/03/2023 Happy Liberation Day..
Aione Sabaya huko alipo
 
Bashiru kakurwa.
pole pole.
makonda.
sabaya.
mnyeti.
Jerry muro.
musiba.
Gwajina.
kabudi.
kalemani.

kila zama na zama zake.
 
Kipindi kirefu sana sasa sijasikia DC amemsweka mtu ndani kwa saa 24 au 48

Kipindi cha Magufuli ilikuwa ni kawaida kusikia DC kamsweka mtu ndani sababu kadhaa

DC inakuita anakuhoji akiona umemzidi kwa hoja basi anaagiza uwekwe ndani..[emoji23][emoji23][emoji23]

Ilikuwa wafanyabishara, wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyakazi wa umma kama madaktari n.k wote walikuwa wahanga wa kuwekwa ndani


Nakumbuka kuna padri aliwekwa ndani kisa aliandika kitabu kuhusu changamoto za vijana wa Tanzania

Kuna askofu pia alishindwa kuvumilia hadi akamvaa Magufuli Ikulu kuhusu DC kumtia ndani mchungaji wa kanisa lake

Viongozi wa upinzani ndio walikuwa wakuu wa kadhia hii

Ama kweli Tanzania tumetoka mbali, Mungu Fundi

17/03/2023 Happy Liberation Day..
Hivi sasa hivi Watanzania tuna maisha mazuri kuliko kipindi JPM?
Huyu Bibi kachemka sema kinachombeba ni wanafiki kama nyinyi!
 
Hivi sasa hivi Watanzania tuna maisha mazuri kuliko kipindi JPM?
Huyu Bibi kachemka sema kinachombeba ni wanafiki kama nyinyi!
Sema wewe una maisha mabaya, usiwazungumzie watanzania
 
Kipindi kirefu sana sasa sijasikia DC amemsweka mtu ndani kwa saa 24 au 48

Kipindi cha Magufuli ilikuwa ni kawaida kusikia DC kamsweka mtu ndani sababu kadhaa

DC inakuita anakuhoji akiona umemzidi kwa hoja basi anaagiza uwekwe ndani..😂😂😂

Ilikuwa wafanyabishara, wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyakazi wa umma kama madaktari n.k wote walikuwa wahanga wa kuwekwa ndani


Nakumbuka kuna padri aliwekwa ndani kisa aliandika kitabu kuhusu changamoto za vijana wa Tanzania

Kuna askofu pia alishindwa kuvumilia hadi akamvaa Magufuli Ikulu kuhusu DC kumtia ndani mchungaji wa kanisa lake

Viongozi wa upinzani ndio walikuwa wakuu wa kadhia hii

Ama kweli Tanzania tumetoka mbali, Mungu Fundi

17/03/2023 Happy Liberation Day..
Walikua wanaenda na beat hivyo usiwalaumu sana ma DC na RC enz hizo!!
 
Hivi sasa hivi Watanzania tuna maisha mazuri kuliko kipindi JPM?
Huyu Bibi kachemka sema kinachombeba ni wanafiki kama nyinyi!
Usitake turopoke humu ,watanzania bila kujali itakadi za vyama vyao tuko na mama ambae ametuonyesha thamani halisi ya utu ni nini aisee.Mungu ampe maisha marefu.
 
Back
Top Bottom