Wakuu wa Wilaya kipindi cha Samia hawachapi kazi kabisaHawachapi kazi kama awamu ya 5

Hivi sasa hivi Watanzania tuna maisha mazuri kuliko kipindi JPM?
Huyu Bibi kachemka sema kinachombeba ni wanafiki kama nyinyi!
Mazuri saana, amani kama yote moyoni.
 
Kuna utulivu kwa sasa... Hakuna mambo ya sukuma ndani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…