Walaghai na matapeli wote ambao mmeigeuza wizara ya ardhi dar kama chaka lenu achaneni na kazi hizo ni lockup tu.

Walaghai na matapeli wote ambao mmeigeuza wizara ya ardhi dar kama chaka lenu achaneni na kazi hizo ni lockup tu.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Nipende kumpongeza kamishna mpya ambaye amekuja kwa ajili ya mkoa wa dar na pwani, MR. LEO, dhamira yako njema ya kubadilisha taswira iliyokuwepo na kujenga mtazamo mpya inaonekana waziwazi, hongera kwa mfumo wako mpya ambao umeuweka hakika wengi wataumbuka, pia nafurahi ya kuwa umetambua vizee vingi na watanashati wengi hawa ndiyo matapeli wakubwa, nikutakie kazi njema na nikuase juu ya kazi kwenda polepole mno hili ndilo labda tatizo jipya, tunaomba kasi izidishwe ili wengi zaidi wahudumiwe kwa uharaka zaidi.
ALAMSIKI.
 
Nipende kumpongeza kamishna mpya ambaye amekuja kwa ajili ya mkoa wa dar na pwani, MR. LEO, dhamira yako njema ya kubadilisha taswira iliyokuwepo na kujenga mtazamo mpya inaonekana waziwazi, hongera kwa mfumo wako mpya ambao umeuweka hakika wengi wataumbuka, pia nafurahi ya kuwa umetambua vizee vingi na watanashati wengi hawa ndiyo matapeli wakubwa, nikutakie kazi njema na nikuase juu ya kazi kwenda polepole mno hili ndilo labda tatizo jipya, tunaomba kasi izidishwe ili wengi zaidi wahudumiwe kwa uharaka zaidi.
ALAMSIKI.
Kamishina wa nini? ardhi? if so amefanya nini au ameweka mikakati gani kukomesha ulaghai idara ya ardhi?
 
Mkuu haujaongelea utofauti aliouleta zaidi ya kumsifia tu?

Kila mtanzania alishachoshwa sana na aina ya figisu na rushwa zifanywazo na watendaji katika ofisi zote zilizochini ya Wizara ya ardhi!

Kidoogo Lukuvi alikuwa kaonesha njia kakini wakamwondosha!

Kaja na mwarobaini gani huyo mwamba ili tumpe kongole?
 
Mkuu haujaongelea utofauti aliouleta zaidi ya kumsifia tu?

Kila mtanzania alishachoshwa sana na aina ya figisu na rushwa zifanywazo na watendaji katika ofisi zote zilizochini ya Wizara ya ardhi!

Kidoogo Lukuvi alikuwa kaonesha njia kakini wakamwondosha!

Kaja na mwarobaini gani huyo mwamba ili tumpe kongole?
Endapo ulikuwa na tatizo lako sugu tafadhali nenda, usichelewe utafahamu ninachomaanisha.
 
Mkuu haujaongelea utofauti aliouleta zaidi ya kumsifia tu?

Kila mtanzania alishachoshwa sana na aina ya figisu na rushwa zifanywazo na watendaji katika ofisi zote zilizochini ya Wizara ya ardhi!

Kidoogo Lukuvi alikuwa kaonesha njia kakini wakamwondosha!

Kaja na mwarobaini gani huyo mwamba ili tumpe kongole?
Lukuvi alikuwa ndiye kioo cha wizara, the same Dr Mabula does, tatizo, Dr Mabula hakuwa amempata kiongozi anayefaa kukalia hasa kiti hiki cha dar es salaam, sasa amepatikana nendeni na tabu zenu zitakwisha haraka sana, bahati mbaya mimi siyo muongeaji sana ndiyo maana nasisitiza nendeni shida zenu zikapate tatuzi mbalimbali alimradi ziwe za kweli na haki, endapo kama ni blah blah si ajabu ukajikuta upo central police!
 
Nipende kumpongeza kamishna mpya ambaye amekuja kwa ajili ya mkoa wa dar na pwani, MR. LEO, dhamira yako njema ya kubadilisha taswira iliyokuwepo na kujenga mtazamo mpya inaonekana waziwazi, hongera kwa mfumo wako mpya ambao umeuweka hakika wengi wataumbuka, pia nafurahi ya kuwa umetambua vizee vingi na watanashati wengi hawa ndiyo matapeli wakubwa, nikutakie kazi njema na nikuase juu ya kazi kwenda polepole mno hili ndilo labda tatizo jipya, tunaomba kasi izidishwe ili wengi zaidi wahudumiwe kwa uharaka zaidi.
ALAMSIKI.
Lawama ziende kwa familia ile iliyo against Sukuma gang
 
Back
Top Bottom