Mkuu tusaidiane kilevya kipi ni bora kutumia wakati unatumia hii kituHahaha !!!hapana, nilikuwa natafakari tu jinsi priorities za watu hapa duniani zina differ.
Ni jambo jema kula kitimoto, ila ni muhimu kushusha na kilevi kikali ili kuua wadudu. Pendelea pia sehemu wanayochemsha kwanza kabla ya kuikaanga.
Mkuu kumbe unampata huyu utakua wa kishua wewe ha ha ha ha
Si unajua tena sisi wazee wa mitulinga [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Over
Syo mebbs hpo Wana kitimoto balaaWe jamaa hakikisha unapita sinza kwa remi upande wa pili hapa ulizia wap kitimoto choma wanauza kg 18000 nenda weka oda nakuapia hautarud kwenye kijiwe chako
😃😃kwann ikuue,eti??We mother confessor taratibu basi..minyoo itaniua ujue.
Kilo 10k...! nyama haikukaukaa kabisaa mbwa yuleee...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]vipi ulinunua sh ngapi kwa kg?
unampenda kwa nyuma siyo?"Katika wanyama woote walioumbwa kitimoto kaumbika kuliko woooteeee🎶🎶,kapewa na mafuta na nywele za kizungu na kamkia kafupiii pale kwa nyumaaaa,.upate kachumbari na ndizi za kuchoma na kaserengeti baridiii pale pembeniii🎶🎶🎶🎶"
Kotekote...unampenda kwa nyuma siyo?