Wale ambao hamkujenga kipindi cha Kikwete ndiyo muanze kujenga sasa

Wale ambao hamkujenga kipindi cha Kikwete ndiyo muanze kujenga sasa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kipindi kile namwambia jamaa yangu nina nyumba 4 hakuamini. Na nyumba za ukweli siyo zile mnasema kakibanda kangu. Yule baba nyie muacheni tu jamani. Watu tulipiga sana pesa. Hakuwa na roho mbaya. Ukiweza jitwalia jitwalie tu.

Tulikuwa na miradi bubu mingi, semina, warsha na makongamano ndani na nje ya nchi. Tuliwahi enda jifunza ufugaji wa samaki china miezi miwili tunakula tu perdiem.

Marekani nilienda mara 4, UK mara 2, Ujerumani mara 2, China mara 5. Tanzania nimezunguka sana kutoa na kupokea mafunzo. Kifupi watu tumekula maisha sana.

Namwona mama ni kama Kikwete yupo very peaceful nimeanza ujenzi nyumba mbili toka aje. Magufuli alitubana sana, utadhani sisi siyo watu.

Tumempokea makamu wa Rais. Fungu lilitoka kutupa support si la kitoto naenda ezeka week ijayo na kusakafia. Kazi iendelee. Wenye wivu wajinyonge.
 
Siongei kiushabiki wala mimi sizifuatilii siasa ila mimi wakati wa Kikwete kwa hela za kuokota hovyo na kujisemea nitapata tena kesho nilisimamisha boma likakaa miaka sita (2012-2018) wakati wa Magufuli ndo nikaendelea na ujenzi.

Kuna namna ukipata sana vitu kwa pupa unajisahau ila wakati wa Magufuli kwa sababu hujui hali itakuwaje kesho a'cally ulijikuta mtu unaishi kwa hesabu kali na kuna waliotoboa maisha yakaenda.
 
Kipindi kile namwambia jamaa yangu nina nyumba 4 hakuamini. Na nyumba za ukweli siyo zile mnasema kakibanda kangu.... Yule baba nyie muacheni tu jamani. Watu tulipiga sana pesa. Hakuwa na roho mbaya. Ukiweza jitwalia jitwalie tu.

Tulikuwa na miradi bubu mingi, semina, warsha na makongamano ndani na nje ya nchi. Tuliwahi enda jifunza ufugaji wa samaki china miezi miwili tunakula tu perdiem.

Marekani nilienda mara 4 uk mara 2 ,ujerumani mara 2, china mara 5. Tanzania nimezunguka sana kutoa na kupokea mafunzo. Kifupi watu tumekula maisha sana.

Namwona mama ni kama kikwete yupo very peaceful nimeanza ujenzi nyumba mbili toka aje. Magufuli ni bora alikufa. Alitubana sana... Utadhani sisi siyo watu... Tumempokea makamu wa Rais. Fungu lilitoka kutupa support si la kitoto naenda ezeka week ijayo na kusakafia. Kazi iendelee. Wenye wivu wajinyonge. Sukuma Gang Kwisha Habari yenu.
Basi tunawaomba Watumishi wote wa Umma Kama mmeamua kula,kuleni tu lakini msituzulumu haki za Wanyonge kwa kigezo kile kile cha mwendo wa kula!!
 
Kipindi kile namwambia jamaa yangu nina nyumba 4 hakuamini. Na nyumba za ukweli siyo zile mnasema kakibanda kangu.... Yule baba nyie muacheni tu jamani. Watu tulipiga sana pesa. Hakuwa na roho mbaya. Ukiweza jitwalia jitwalie tu.

Tulikuwa na miradi bubu mingi, semina, warsha na makongamano ndani na nje ya nchi. Tuliwahi enda jifunza ufugaji wa samaki china miezi miwili tunakula tu perdiem.

Marekani nilienda mara 4 uk mara 2 ,ujerumani mara 2, china mara 5. Tanzania nimezunguka sana kutoa na kupokea mafunzo. Kifupi watu tumekula maisha sana.

Namwona mama ni kama kikwete yupo very peaceful nimeanza ujenzi nyumba mbili toka aje. Magufuli ni bora alikufa. Alitubana sana... Utadhani sisi siyo watu... Tumempokea makamu wa Rais. Fungu lilitoka kutupa support si la kitoto naenda ezeka week ijayo na kusakafia. Kazi iendelee. Wenye wivu wajinyonge. Sukuma Gang Kwisha Habari yenu.
Kufa ni kikombe tu kila mtu ata kinywa
 
Siongei kiushabiki wala mimi sizifuatilii siasa ila mimi wakati wa Kikwete kwa hela za kuokota hovyo na kujisemea nitapata tena kesho nilisimamisha boma likakaa miaka sita (2012-2018) wakati wa Magufuli ndo nikaendelea na ujenzi.

Kuna namna ukipata sana vitu kwa pupa unajisahau ila wakati wa Magufuli kwa sababu hujui hali itakuwaje kesho a'cally ulijikuta mtu unaishi kwa hesabu kali na kuna waliotoboa maisha yakaenda.
Kwani Magu si alianza 2015?
 
Kipindi kile namwambia jamaa yangu nina nyumba 4 hakuamini. Na nyumba za ukweli siyo zile mnasema kakibanda kangu. Yule baba nyie muacheni tu jamani. Watu tulipiga sana pesa. Hakuwa na roho mbaya. Ukiweza jitwalia jitwalie tu.

Tulikuwa na miradi bubu mingi, semina, warsha na makongamano ndani na nje ya nchi. Tuliwahi enda jifunza ufugaji wa samaki china miezi miwili tunakula tu perdiem.

Marekani nilienda mara 4, UK mara 2, Ujerumani mara 2, China mara 5. Tanzania nimezunguka sana kutoa na kupokea mafunzo. Kifupi watu tumekula maisha sana.

Namwona mama ni kama Kikwete yupo very peaceful nimeanza ujenzi nyumba mbili toka aje. Magufuli alitubana sana, utadhani sisi siyo watu.

Tumempokea makamu wa Rais. Fungu lilitoka kutupa support si la kitoto naenda ezeka week ijayo na kusakafia. Kazi iendelee. Wenye wivu wajinyonge.
Watu wenye akili kama zako ndio wanaosababisha nchi haitoki ilipo
 
Bila aibu unasema ulipiga pesa.Yaani ubinadamu umewatoka kabisa,aibu sana.Ila ukumbuke kwamba ulikuja duniani uchi na utaondoka uchi.
Alivyompumbavu anaelezea jinsi alivyokwenda seminar na kurudi bila bila kufanya chochote.
Tunailaumu serikali kumbe watu wanapelekwa aemina za kilimo wakirudi mafaili wanaweka uvunguni.
 
Kipindi kile namwambia jamaa yangu nina nyumba 4 hakuamini. Na nyumba za ukweli siyo zile mnasema kakibanda kangu. Yule baba nyie muacheni tu jamani. Watu tulipiga sana pesa. Hakuwa na roho mbaya. Ukiweza jitwalia jitwalie tu.

Tulikuwa na miradi bubu mingi, semina, warsha na makongamano ndani na nje ya nchi. Tuliwahi enda jifunza ufugaji wa samaki china miezi miwili tunakula tu perdiem.

Marekani nilienda mara 4, UK mara 2, Ujerumani mara 2, China mara 5. Tanzania nimezunguka sana kutoa na kupokea mafunzo. Kifupi watu tumekula maisha sana.

Namwona mama ni kama Kikwete yupo very peaceful nimeanza ujenzi nyumba mbili toka aje. Magufuli alitubana sana, utadhani sisi siyo watu.

Tumempokea makamu wa Rais. Fungu lilitoka kutupa support si la kitoto naenda ezeka week ijayo na kusakafia. Kazi iendelee. Wenye wivu wajinyonge.
Boss wenu kawauliza, mtazikwa nazo?
 
Kipindi kile namwambia jamaa yangu nina nyumba 4 hakuamini. Na nyumba za ukweli siyo zile mnasema kakibanda kangu. Yule baba nyie muacheni tu jamani. Watu tulipiga sana pesa. Hakuwa na roho mbaya. Ukiweza jitwalia jitwalie tu.

Tulikuwa na miradi bubu mingi, semina, warsha na makongamano ndani na nje ya nchi. Tuliwahi enda jifunza ufugaji wa samaki china miezi miwili tunakula tu perdiem.

Marekani nilienda mara 4, UK mara 2, Ujerumani mara 2, China mara 5. Tanzania nimezunguka sana kutoa na kupokea mafunzo. Kifupi watu tumekula maisha sana.

Namwona mama ni kama Kikwete yupo very peaceful nimeanza ujenzi nyumba mbili toka aje. Magufuli alitubana sana, utadhani sisi siyo watu.

Tumempokea makamu wa Rais. Fungu lilitoka kutupa support si la kitoto naenda ezeka week ijayo na kusakafia. Kazi iendelee. Wenye wivu wajinyonge.
Halafu watu wa hivi utakuja kukuta unadaiwa kodi ya nyumba miezi mitatu hujalipa unakuja kujifariji JF na hata passport huna.
 
Back
Top Bottom