Wale ambao hamkujenga kipindi cha Kikwete ndiyo muanze kujenga sasa

Hata mimi nimejenga kipindi cha magu..na wakati wa jk sikuweza....watu wasioiba wengi walijenga wakati wa magu...lakini wezi wengi huu ndio mda wao...
 
Alivyompumbavu anaelezea jinsi alivyokwenda seminar na kurudi bila bila kufanya chochote.
Tunailaumu serikali kumbe watu wanapelekwa aemina za kilimo wakirudi mafaili wanaweka uvunguni.
Sasa unataka nikatae kwenda? We una akili kweli?
 
Bila aibu unasema ulipiga pesa.Yaani ubinadamu umewatoka kabisa,aibu sana.Ila ukumbuke kwamba ulikuja duniani uchi na utaondoka uchi.
Toka nianze hudhuria mazishi sijawahi ona maiti akiwa uchi. Huo ni uongo.
 
Kama ulishindwa kujenga kipindi cha magufuli ww hunatofauti na wanawake wanaotaka haki sawa. Mkapa kaliwa kichwa kikwete kaliwa kichwa na magu kaliwa pia huyu mama naye atakiwa kichwa hakuna awamu inaenda salama kama hukula kwa magu hukuwa na akili japo magu alibana na alituumiza wengine kutuvurugia utaftaji wetu ila nashangaa sana mtu alieshindwa kuweka mipango akala mema kipindi cha magu
 
Alafu pia waliokua kwenye mfumo ndio walipiga vizuri tu nina jamaa yangu yupo kitengo mpka leo na hajawahi ona tofauti kati ya kikwete magu na samia kote anafumua akikupa mchongo leo baada ya siku tano malipo hayo hapo ww unalalama kwa magu sjui hukufaidi mjini akili dogo na usijisifie kwenda semina ambazo huna manufaa nazo nenda nje leta ujuzi hata kama umepiga pesa wape watanzania ulichopata nje na ww tumia walivyokupa nje mbali na hapo naona unaishi tu duniani
 
Ya watanzania watabaki nayo wao na yangu yatakuwa yangu.
 
Halafu watu wa hivi utakuja kukuta unadaiwa kodi ya nyumba miezi mitatu hujalipa unakuja kujifariji JF na hata passport huna.
Au anadandia uzi wa ajira mixer kuulizia na kulalamika kama mpwayunguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe ndio huna akili; maana unatumwa kwa gharama za wananchi unarudi na mavi kichwani alafu unajisifia
Wewe una kinyesi kichwani na kwenye moyo. Hata kuandika hujui.
Alafu❌
Halafuβœ…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…