Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Hii ni sehemu ya kupiga story na kumaliza vistress vidogo na zile stress kubwa, chukulia hivyo na uishi mkuu. Nikizini, akiiba, mwingine akiua...nk wote tunahesabika wadhambi tu na tunahitajo toba ili tusamehewe.
Toba ni kubadirika , sio unazini unaomba rehema alafu kesho unarudi haiyo haitakiwa andiko linasema hapo unakuwa vugu vugu Bwana anaweza kukutapika . Ni vyema tuka ishi utawa kama Paul Apostle alivyo mpa mausia Timotheo..
 
Declaration of interest, mimi ni mwanaume ambaye kila mwaka naweza kumnunulia mwanamke wangu Gari la kuanzia 50mil, mwanamke ni viumbe wa ajabu

Katika vitu nasema nimewahi kukosea maishani mwangu ni kuishi na huyu mwanamke niliyezaa nae, hakuna amani kabisa kwenye maisha yangu kila siku ya Mungu, amani yangu inakuja nikilala usingizi na wakati mwingine nakunywa dawa au pombe kali sana ili nilale, au nitafute Mwanamke wa Burudani.

Kama uko kwenye uchumba, umezaa na mtu ikakubidi umuoe, usioe ndoa ya Kanisani wala msikitini, utaratibu wa kubariki ndoa ndio jambo bora kwenye masuala ya dini.

Ukisikia mwanaume anaacha nyumba, mali zote anamuachia mwanamke ili asihangaike na watoto huwa akosei kabisa, nimewahi kupanga niharibu namba zangu zote za simu, niwapige stop ndugu zangu nihame nyumbani nimuachie kila kitu alafu nianze maisha upya.

Ukipata mke mbaya, hutawahi upate amani hadi unakufa.
Ebu mkuu sorry, hii komenti kwann usiiandikie uzi kabisa yani
 
Mpango wa kuoa? Kwa ambaye hajawahi kuoa na anatamani aoe ataona ni vema tu aoe, ila kwa aliyeoa akakutana na changamoto ya mahusiano ya kindoa kama kusalitiwa na unyanyasaji mwingine ndani ya ndoa, akiachwa au kuacha huwa hatamani tena kuoa. Anaweza kuwa na mahusiano ya kimapenzi yasiyo ya kudumu ya hapa na pale ili tu kupata ile kitu nafsi yake inataka na maisha yanaendelea
 
Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.

Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.

Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.

Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?

Uzi tayari!

cc: Liverpool VPN
Duuh
 
Mpango wa kuoa? Kwa ambaye hajawahi kuoa na anatamani aoe ataona ni vema tu aoe, ila kwa aliyeoa akakutana na changamoto ya mahusiano ya kindoa kama kusalitiwa na unyanyasaji mwingine ndani ya ndoa, akiachwa au kuacha huwa hatamani tena kuoa. Anaweza kuwa na mahusiano ya kimapenzi yasiyo ya kudumu ya hapa na pale ili tu kupata ile kitu nafsi yake inataka na maisha yanaendelea
 
Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.

Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.

Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.

Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?

Uzi tayari!

cc: Liverpool VPN
Issue kubwa hapa inaonekana ni kupata support uzeeni vipi mke wako akitangulia kufa?
Au vipi ikitokea msijaliwe watoto kwenye ndoa halafu umri wa karibu karibu mkazeeka Kwa pamoja?
 
Back
Top Bottom