yani lolote linawezekana JF kila mtu spy
Sawa mchumba, unadhani itachukua muda gani?
Maana muda ukivuka hesabu itavurugika.
Kuwa mvumilivu tuu. Haraka haraka haina baraka.
Hakuna ombi hapo, lazima tuonane!! Na Lazima tuwe marafiki wa kudumu jamani!Hii ni lazima wala sio hiari, halafu kwani tukikutana si tunabakia marafiki tu jamani!!!
Sawa jirani, nishaonana na baadhi kiukwelii sijawahi kujuta kabisaa my dear!!Nacheka tu jirani jinsi hiyo aisee ambavyo haijulikani upo upande gani.[emoji1787][emoji1787]
Kama hujawahi [emoji12][emoji12] jitahidi uonane na baadhi hasa wale wenye mawazo makubwa kukuzidi mana kiukweli baadhi ni watu wazuri mno tunaosaidiana kwenye shida na raha na hata kupeana michongo ya namna ya kujiongezea vipato nje ya viajira vyetu vinavyotuweka mjini.
Sawa😊Ebu fanya tukutane hata kwenye ibada ya jioni tafadhali...
MmmhhhNa mimi I see kwenye huo mpango tafadhali.
Sio wa kawaida kama ulivyo wewe mkuu. Usiombe kukutana nao. Ni mijitu mirefu migentro,ina miili mikubwa. Huwa hayaonekani kwa kawaidaHebu niulize kwani wanajf ni watu wa aina gani
.mashetani?
.majambazi?
.wakabaji?
.wabakaji?
.wanyongaji?
.wanyonya damu?
.wauza unga?
.wezi?
.wachawi
.n.k
Maana watu weeeeengi wanadai hawajawahi onana pia hawana huo mpango.
Basi mi nilijua ni watu wa kawaida kama mimi.
Haya, nami ngoja nichangie hapa.
Eti nina UKIMWI [emoji1787].
Hiyo niliiona juzi nikaishia kucheka tu.
Watu walikuwa wanazunguka zunguka tu lakini hawanitaji.
Unawaona wanajichekesha chekesha tu...oh sijui yule mbeba maboksi...oh sijui kamla nani na nani!
Hahahaha....99% of the content here is bullshit!
Mmmhhh
Ni woga tu bwana. Mbona kuna watu tuko nao WhatsApp na wanaona kila siku tinavyochange picha status ila hawaziweki humu?
Ila ni vizuri pia kuangalia nani unafahamiana nae maana kuna mtu atataka mjuane ili iwe rahisi kuja kukuanika humu.
Kumbe ndio unabeba maboskiHaya, nami ngoja nichangie hapa.
Eti nina UKIMWI [emoji1787].
Hiyo niliiona juzi nikaishia kucheka tu.
Watu walikuwa wanazunguka zunguka tu lakini hawanitaji.
Unawaona wanajichekesha chekesha tu...oh sijui yule mbeba maboksi...oh sijui kamla nani na nani!
Hahahaha....99% of the content here is bullshit!