Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

Mbona unapoteza muda bure?
Jf imejaa wachawi...yaani watu na roho zao za kutu.
Kama wanashindwa kutongoza na kuchukua mizigo ya maana wakae kimya milele.
Sasa ukiwa nao au usipokuwa nao wao wanateswa na nini?

I know.

Nilikuwa nazingua tu.
 
Hiyo username yako simchezo.....

Hata mimi pia sijawahi kuonana na member yeyote yule...Yote ni kwa sababu sitaki shari...maana baadhi ya members wa humu(wengi )wako na mitazamo negative sana
I dont meet and talk to strangers. Huwa tunamalizana hukuhuku kwenye comments
 
Kudos
 
My ribs
 
Kibiashara sawa ila simu kwa simu na mipango ikatick nikachukua changu au chake kwisha habar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…