[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]duh ukamfata maza mtu daah demu nahisi ulipomaliza hakurudiana tena na wewKuna demu.
Alijifanya mjanja.
Alikula laki yangu akanikimbia guest.
Nampigia simu apokei.
Nikaenda kwao usiku sikumkuta.
Nikasema huyu dawa yake ndogo.
Asubuhi nikarudi tena kwao.
Nikamkuta mama yake.
Nikamwambia mama mwanao tumekubaliana vizuri na hela nimempa lakini kanikimbia.naomba umwambie Fulani anataka hela yake kistaarabu tu.
Vinginevyo atakuja kukuvunja miguu kasema.
Mbona jioni alinitafuta nikaenda kufanya yangu.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ngoja nikae kwanza dnia hiiNishawah kumtoroka demu asubaa ile naingy kwenye kosta kama kawa nkawah siti ya mbele kufika mbele kdg lahaula nae anasimamisha hy hy kosta hahaha nilichanganyikiwa nkajikuta namuambia dereva huyo haendi huyo.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseeee wanaume wabaya nyie kuna mwingine aliopoa changudoa wakat wa kulala akavuta kitanda mpaka mlangoni akaogopa kuibiwa
Hahaaaaa alituachia parcel sio ya dunia hiiOhoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] GeoMex mkaambulia mzigo shuka mlizichomea wapi haaa haa pole sana mkuu
Nimeishia kucheka tu kweli hiyo mbwa kala mbwa!Mm kuna Malaya nilimchukua pale Uhuru peak tumekula mitungi badae tukatafuta lodge kufika room ananikazia anataka laki nikasema poa, demu kasaula mm nikatoa ganja yangu nikawasha nikaanza kunyonya taratibu demu nae kashobokea on kampa apige puff kadhaa akanirudishia mm nikamalizia cha ukucha kugeuka namuona mtt amelala kumgusa amezima kabisa namtikisa hamna kitu nilichoamua ni kuanza kumsachi nguo zote sidilia na mkoba nikakuta ana mia sabini nikaikomba nikawaza nichukue na nguo zake akose za kutokea asbh nikamuonea huruma nikaziacha nikatoka pale nikaenda zangu Masai nakaokota Malaya mwingine nakaenda kujilia kiulaini nikampa 30.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nishawah kumtoroka demu asubaa ile naingy kwenye kosta kama kawa nkawah siti ya mbele kufika mbele kdg lahaula nae anasimamisha hy hy kosta hahaha nilichanganyikiwa nkajikuta namuambia dereva huyo haendi huyo.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh umenifurahisha mkuu, eti wamezolewa kama chawa!hahaaa...Jamaa yngu wewe ulikuwa noma sana " yaani sekta zote hzo ulipitia...daahh umenikumbusha mbali sana...kuna Jamaa zangu walimleweshaga malaya mmoja hivi wakaenda kumpiga mtungo "" kumbe bwana yule demu alikuwaga anatoka na mzungu mmoja hivi ana dola zake mzungu akapata info kuwa demu wake katolewa sandakalawe "" basi akaenda o' bey kuchukuwa pira ...hahaaa wacha Jamaa wakusanywe kwenye difender kama chawa "
ndio mkuu ilikuwa ni hatari" mimi mambo ya mtungo nilikiwaga najiepusha nayo mnooo..sikatai nimefanya mno umalaya "" lakini hilo lilikuwa linanishinda ""Duuh umenifurahisha mkuu, eti wamezolewa kama chawa!
Kugombea koloni aibu sana[emoji16][emoji16][emoji16]Hahah wanagombea koloni sio?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sipati pic harufu yake tena alitoa kwa hasira duu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hahaaaaa alituachia parcel sio ya dunia hii
Ujana bwana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaaa Malaya noma. Unanikumbusha miaka ya 2009/2010 hivi wakati huo tunaanza kazi kigeto kimoja Basi maafisa ndo sisi mabishoo balaa.
Sasa Kuna jamaa yangu alikua hajapanga bado kazi yake kudandia tunazunguka kulala kila sehemu Kama tupo hostel bado. Mie geto kwangu nikipata mlupo nampiga exile anaenda kulala kwa mwana mwingine na yy akipata bas nampisha. Sasa weekend Moja kaokota Malaya nikampisha bwana wanekubaliana fresh atamtoa 30. Kumbe mwana ule usiku gambe na Nini kamaliza hela yote kabakia na Kama buku 4 tu. Kapiga mzigo fresh kamgalagaza dada wa watu kufika saa11 Dem anataka chake jamaa kaanza saundi Mara mpesa imefanyaje sijui Mara subiria kukuche zogo zogo kweli nimekuja kusimulia na majiran zangu. Mwana ananiambia Dem Hadi alimsachi ndo kamkuta na buku4 tu Dem kamaindi balaa humo ndani hataki kutoka
Sasa mida ya saa Moja asubuhi hivi mwana kanipigia simu mi mbio nikaokoe jahazi mshkaji akafanya kosa akaenda uwani. Choo Cha nje daaah ile anarudi anakuta Dem kashasepa na mie nafika nakuta Dem katuachia bonge la kimba la mavi kitandani Yani la motooo kakwara na ile buku nne yake
Hahahhaaaa tulibaki kucheka tu kwa ule mzigo Yani Dem Kama alijiandaa siku nne kitu inaweza kujaa ndoo Yani alijikamua yote ile
Tukaishia kuchoma Moto shuka zangu na harufu kwenye kitanda ilikaa Kama wiki hivi
Kweli sio poa nduguKugombea koloni aibu sana[emoji16][emoji16][emoji16]
Kifuatacho wote mnaachwa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kweli sio poa ndugu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85]Kuna demu.
Alijifanya mjanja.
Alikula laki yangu akanikimbia guest.
Nampigia simu apokei.
Nikaenda kwao usiku sikumkuta.
Nikasema huyu dawa yake ndogo.
Asubuhi nikarudi tena kwao.
Nikamkuta mama yake.
Nikamwambia mama mwanao tumekubaliana vizuri na hela nimempa lakini kanikimbia.naomba umwambie Fulani anataka hela yake kistaarabu tu.
Vinginevyo atakuja kukuvunja miguu kasema.
Mbona jioni alinitafuta nikaenda kufanya yangu.
Hahah!!! Basi acha nikuibie siri kuna kupindi vimtu vilijifanya kunipenda sana vilivyojuana vilichambana, mwisho wa siku vilipanga viniite mtu kati nichague mmoja basi mmoja akaniita kumbe ni mtego hapo wapo wote....Kifuatacho wote mnaachwa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Haaaa haaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kuna mwenzio mmoja yeye walimdunda sana kwa kumchangia kisha wakaondoka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahah!!! Basi acha nikuibie siri kuna kupindi vimtu vilijifanya kunipenda sana vilivyojuana vilichambana, mwisho wa siku vilipanga viniite mtu kati nichague mmoja basi mmoja akaniita kumbe ni mtego hapo wapo wote....
Nikaenda bhn acha linishuke ila sikutaka mjadara na mtu niligeuka simba sitaki kusikia swali lolote nikaondoka kwa hasira nikawaacha pale.....
Basi kati ya wote hakuna ata mmoja nilieendeleanae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuaje alikua mnyonge hivyo adi adundwe na kinadada?Haaaa haaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kuna mwenzio mmoja yeye walimdunda sana kwa kumchangia kisha wakaondoka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]