Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Kuna demu.
Alijifanya mjanja.
Alikula laki yangu akanikimbia guest.
Nampigia simu apokei.
Nikaenda kwao usiku sikumkuta.
Nikasema huyu dawa yake ndogo.
Asubuhi nikarudi tena kwao.
Nikamkuta mama yake.
Nikamwambia mama mwanao tumekubaliana vizuri na hela nimempa lakini kanikimbia.naomba umwambie Fulani anataka hela yake kistaarabu tu.
Vinginevyo atakuja kukuvunja miguu kasema.
Mbona jioni alinitafuta nikaenda kufanya yangu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]duh ukamfata maza mtu daah demu nahisi ulipomaliza hakurudiana tena na wew
 
Mie nililala demu akanisachi akakimbia kaondoka na laki mbili na 80 mpaka leo sina hamu
 
Nishawah kumtoroka demu asubaa ile naingy kwenye kosta kama kawa nkawah siti ya mbele kufika mbele kdg lahaula nae anasimamisha hy hy kosta hahaha nilichanganyikiwa nkajikuta namuambia dereva huyo haendi huyo.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ngoja nikae kwanza dnia hii
 
Aiseeee wanaume wabaya nyie kuna mwingine aliopoa changudoa wakat wa kulala akavuta kitanda mpaka mlangoni akaogopa kuibiwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ohoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] GeoMex mkaambulia mzigo shuka mlizichomea wapi haaa haa pole sana mkuu
Hahaaaaa alituachia parcel sio ya dunia hii

Ujana bwana
 
Mm kuna Malaya nilimchukua pale Uhuru peak tumekula mitungi badae tukatafuta lodge kufika room ananikazia anataka laki nikasema poa, demu kasaula mm nikatoa ganja yangu nikawasha nikaanza kunyonya taratibu demu nae kashobokea on kampa apige puff kadhaa akanirudishia mm nikamalizia cha ukucha kugeuka namuona mtt amelala kumgusa amezima kabisa namtikisa hamna kitu nilichoamua ni kuanza kumsachi nguo zote sidilia na mkoba nikakuta ana mia sabini nikaikomba nikawaza nichukue na nguo zake akose za kutokea asbh nikamuonea huruma nikaziacha nikatoka pale nikaenda zangu Masai nakaokota Malaya mwingine nakaenda kujilia kiulaini nikampa 30.
Nimeishia kucheka tu kweli hiyo mbwa kala mbwa!
 
Nishawah kumtoroka demu asubaa ile naingy kwenye kosta kama kawa nkawah siti ya mbele kufika mbele kdg lahaula nae anasimamisha hy hy kosta hahaha nilichanganyikiwa nkajikuta namuambia dereva huyo haendi huyo.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahaaa...Jamaa yngu wewe ulikuwa noma sana " yaani sekta zote hzo ulipitia...daahh umenikumbusha mbali sana...kuna Jamaa zangu walimleweshaga malaya mmoja hivi wakaenda kumpiga mtungo "" kumbe bwana yule demu alikuwaga anatoka na mzungu mmoja hivi ana dola zake mzungu akapata info kuwa demu wake katolewa sandakalawe "" basi akaenda o' bey kuchukuwa pira ...hahaaa wacha Jamaa wakusanywe kwenye difender kama chawa "
Duuh umenifurahisha mkuu, eti wamezolewa kama chawa!
 
Duuh umenifurahisha mkuu, eti wamezolewa kama chawa!
ndio mkuu ilikuwa ni hatari" mimi mambo ya mtungo nilikiwaga najiepusha nayo mnooo..sikatai nimefanya mno umalaya "" lakini hilo lilikuwa linanishinda ""
 
Hahaaaaa alituachia parcel sio ya dunia hii

Ujana bwana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sipati pic harufu yake tena alitoa kwa hasira duu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hahahahaaa Malaya noma. Unanikumbusha miaka ya 2009/2010 hivi wakati huo tunaanza kazi kigeto kimoja Basi maafisa ndo sisi mabishoo balaa.

Sasa Kuna jamaa yangu alikua hajapanga bado kazi yake kudandia tunazunguka kulala kila sehemu Kama tupo hostel bado. Mie geto kwangu nikipata mlupo nampiga exile anaenda kulala kwa mwana mwingine na yy akipata bas nampisha. Sasa weekend Moja kaokota Malaya nikampisha bwana wanekubaliana fresh atamtoa 30. Kumbe mwana ule usiku gambe na Nini kamaliza hela yote kabakia na Kama buku 4 tu. Kapiga mzigo fresh kamgalagaza dada wa watu kufika saa11 Dem anataka chake jamaa kaanza saundi Mara mpesa imefanyaje sijui Mara subiria kukuche zogo zogo kweli nimekuja kusimulia na majiran zangu. Mwana ananiambia Dem Hadi alimsachi ndo kamkuta na buku4 tu Dem kamaindi balaa humo ndani hataki kutoka

Sasa mida ya saa Moja asubuhi hivi mwana kanipigia simu mi mbio nikaokoe jahazi mshkaji akafanya kosa akaenda uwani. Choo Cha nje daaah ile anarudi anakuta Dem kashasepa na mie nafika nakuta Dem katuachia bonge la kimba la mavi kitandani Yani la motooo kakwara na ile buku nne yake

Hahahhaaaa tulibaki kucheka tu kwa ule mzigo Yani Dem Kama alijiandaa siku nne kitu inaweza kujaa ndoo Yani alijikamua yote ile

Tukaishia kuchoma Moto shuka zangu na harufu kwenye kitanda ilikaa Kama wiki hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
huyu manzi bhana ilitokea tukasafiri basi moja na tukafika usiku...

pale×2 stand ya bus kiulaini nikajiopolea;Sasa ile guest tuliyofikia bafu lake lipo kwa nje...

kidume nikatangulia kuoga ile asubuhi,nikamshawishi naye akaenda kuoga...akakubali

Sikufanya makosa
 
Thailand 2012,nimeingia mji wa watu sina hata wiki,kuna mdada alikuwa rafiki wa demu wa mshkaji wangu,bas nikawa namnyapia mdogomdogo,demu anajifanya haelewi somo, ,sku tukakutana kene party night kali nikaforce kumsindikiza hotelini kwake,kufika ndani shosti ananikazia,baadae ananambia anataka hela kwenda shopping kesho yake,mie hapo uchu umepanda akili imehamia kichwa cha chini.nkamuuliza shingapi akanambia 250$,nkamwambia mbona ndogo hyo ntakupa 500$mtoto mzuri,bas mtoto akalegea tukafanya yetu,sasa kimbembe kulipokucha,demu ananiamsha nimpe hela aende shopping,akili sasa imerudi najuta kwanini niliahidi kutoa mieala yote hyo.nlichofanya nikampa kadi ambayo najua haina sumni na siitumii tena, nkajifanya bado nina usingizi nkampa na password nkamwambie akatoe then anipitie tuondoke,nkijua fika ATM ya karibu iko kilomita mbili kutoka tulipo,alipotoka na mie nkaamsha zangu.basi demu wacha amaindi miksa matusi,anaanza kutoa vitisho kuwa kashatafuta wahuni wananisaka wanifanyizie,mie foreigner tu,siwezi muingiza mjini.bahti nzuri huo mji nlikuwa napita tu baada ya wiki nikaamsha zangu.
 
Kuna demu.
Alijifanya mjanja.
Alikula laki yangu akanikimbia guest.
Nampigia simu apokei.
Nikaenda kwao usiku sikumkuta.
Nikasema huyu dawa yake ndogo.
Asubuhi nikarudi tena kwao.
Nikamkuta mama yake.
Nikamwambia mama mwanao tumekubaliana vizuri na hela nimempa lakini kanikimbia.naomba umwambie Fulani anataka hela yake kistaarabu tu.
Vinginevyo atakuja kukuvunja miguu kasema.
Mbona jioni alinitafuta nikaenda kufanya yangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85]
 
Kifuatacho wote mnaachwa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hahah!!! Basi acha nikuibie siri kuna kupindi vimtu vilijifanya kunipenda sana vilivyojuana vilichambana, mwisho wa siku vilipanga viniite mtu kati nichague mmoja basi mmoja akaniita kumbe ni mtego hapo wapo wote....

Nikaenda bhn acha linishuke ila sikutaka mjadara na mtu niligeuka simba sitaki kusikia swali lolote nikaondoka kwa hasira nikawaacha pale.....

Basi kati ya wote hakuna ata mmoja nilieendeleanae
 
Hahah!!! Basi acha nikuibie siri kuna kupindi vimtu vilijifanya kunipenda sana vilivyojuana vilichambana, mwisho wa siku vilipanga viniite mtu kati nichague mmoja basi mmoja akaniita kumbe ni mtego hapo wapo wote....

Nikaenda bhn acha linishuke ila sikutaka mjadara na mtu niligeuka simba sitaki kusikia swali lolote nikaondoka kwa hasira nikawaacha pale.....

Basi kati ya wote hakuna ata mmoja nilieendeleanae
Haaaa haaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kuna mwenzio mmoja yeye walimdunda sana kwa kumchangia kisha wakaondoka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Haaaa haaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kuna mwenzio mmoja yeye walimdunda sana kwa kumchangia kisha wakaondoka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuaje alikua mnyonge hivyo adi adundwe na kinadada?
 
Back
Top Bottom