Haya ni mambo ambayo unafanya kwa koo zilizoendelea ambazo zinaelewa haya mambo.Kama utoi mahali wanachukua mtoto wao eeeh itakuaje hapo..!?
Wewe nawe ndio wale wale wakuja mnaosema "haujaelewa".Ww bwege mtozeni sana, kama haujaelewa kaa chonjo,
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwa mwanamke gani wa kumfanyia hayo? Hawa hawa akina Sikitu? 😀Kulipa mahari hii ya mara moja ni kuondoa heshima ya mwanamke na familia yake.
Mahari ni bei ya kumnunua mwanamke. Ukilipa mahari, unachosema ni kwamba huyu mwanamke thamani yake ni hii. Nalipa nimchukue. Umemfanya kawa kama ng'ombe.
Unaweza kulinda heshima ya mwanamke na familia yake kwa kukaa naye mpaka kifo kiwatenganishe.
Unaweza kulinda heshima ya mwanamke na familia yake kwa kuzaa naye mtoto.
Na kama material thing is your measure, unaweza kulinda heshima ya mwanamke na familia yake kwa kumpeleka shopping ambayo ni zaidi ya hiyo mahari kila mwezi.
Yani ni hivi, unakataa kulipa mahari mara moja, unalipa mahari kila mwezi kwa kuelewa umuhimu wa huyo mwanamke.
Akitaka dhahabu unambebesha mpaka anasema hizi nzito sana siwezi kuvaa wewe mwanamme utaniumiza. Yani dhahabu kubwa mpaka masikio yanataka kukatika, anaomba poo mwenyewe.
Akitaka nguo unamuachia mwenyewe achague anavyotaka.
Mahari hapo inakuwa endelevu, kama ilivyo ndoa.
Unajenga naye nyumba ya maana mnamiliki.
Unamnunulia latest cars, akiendesha anajisikia anamiliki barabara.
Yani bei ya BMW moja tu unal9mnunulia ni mara 10 ya mahari unayoambiwa kulipa mara moja.
Ukitoa mahari mara moja unakuwa kama umemnunua ng'ombe.
Nikikupa mfumo huo wa mahari utauonaje?
Utauweza? Utaupenda?
Kwa mwanamke gani wa kumfanyia hayo? Hawa hawa akina Sikitu? [emoji3]
Utakuja shangaa na roho yako ukikuta boda boda anamtia.
Vipi kuhusu wale ambao hawajapima DNA na hivyo wanalea watoto wa watu pasipo ridhaa ya baba zao?Kusema ukweli huyu mwanamke ninaye ishi nae nilimchukulia kwa dada yake na kuamua kuanza maisha na yeye.
Basi bhana ilitokea msiba nyumbani kwao ikabidi tuende wote, na baada ya msiba kuisha ikabidi mambo mengine yaendelee ikiwepo kikao kuyahusu maisha yangu na yeye lakini kwa busara zao wakaniambia niende nikapambane siku nikipata kidogo niende nacho ili wakanitajie rasmi kiasi cha mahari,
Haya mambo yaachwe kama yalivyo tu. Lipa million 1-2 inatosha sana usije onekana umechukua mtoto wao kihuni.Hapo ushafanya homework yako, haya mambo si ya kumfanyia mtu ovyo ovyo.
La sivyo utakuwa na tatizo kubwa kuliko mahari.
Kuna cousin wangu mmoja alikuwa anasema mambo yanayotatuliwa kwa pesa si matatizo, ni gharama tu.
Matatizo halisi hayatatuliwi kwa pesa tu.
Kutunza ilikuwa unakuta kitu sealed. Wazazi wenyewe hawa wa sasa hawawezi tunza watoto. Wanawake unaoa breki pumbuzMahari ni tamaduni yetu pendwa
wala si utumwa
wala si kumnunua mwanamke
Mahari ni heshima kama zawadi iwa familia. Ya kukutunzia mke wako. .
Mahari haiko Africa tu, ipo kwenye jamii nyingi sana duniani. .
Lipa mahari Linda heshima ya mwanamke na familia yake. .
Mahari si heshima kwa mwanamke.Mahari ni heshima kwa mwanamke wa kiafrika mahari ni utamaduni wetu, mahari ni halalisho la ndoa ya kimila, mahari ni mapenzi mahari ni kitambulisho cha kijana kuweza kumtunza mke husika mahari........ Tutolewe mahari aisee msilete ujuaji
Mahari si heshima kwa mwanamke.
Mahari ni kumuondolea heshima mwanamke.
Unamuwekea bei mwanamke kwamba huyu thamani yake ni sawa na ng'ombe ishirini.
Na hapo mwanamme anapata sauti kwamba amemnynua mwanamke kwa ng'ombe ishirini.
Sasa wewe unakubali kumuweka mwanamke awe sawa na ng'ombe ishirini?
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Haya mambo yaachwe kama yalivyo tu. Lipa million 1-2 inatosha sana usije onekana umechukua mtoto wao kihuni.
Sawa. Ni haki yako.Mi ni mwanamke niko tayari kuuzwa kwa mujibu wa mtizamo wako,
usihalalishe hilo kwa mgongo wa mahariSawa. Ni haki yako.
Ila, mwanamme akikudunda kwa sababu amekununua, usilalamike.
Kwa sababu itakuwa ni kweli amekununua.
Sasa utakataaje kupigwa na mume wakati ushakubali kwamba wewe ni mali ya mume aliyekununua?usihalalishe hilo kwa mgongo wa mahari
Unavyopenda ligi sasa, we tuache tutolewe mahari we ukioa usitoe full stopSasa utakataaje kupigwa na mume wakati ushakubali kwamba wewe ni mali ya mume aliyekununua?
Kwani wapi nimekukataza?Unavyopenda ligi sasa, we tuache tutolewe mahari we ukioa usitoe full stop
🤩🤩Uwe na wakati mzuriKwani wapi nimekukataza?
Naanzaje kukukataza mtu hata sikujui?
Huwezi kujadili hoja kidhahania tu kwamba hili jambo ni zuri au baya, kwa sababu hizi na hizi, bila ya ku catch feelings na kuona kwamba nakufanyia personal attack wewe kama mtu binafsi?
You as a person are not that important to me. Sikujui.
Point ya mjadala ni kuelimishana kifalsafa, kimantiki, kidhahania, si kufanya personal attack kwako.
Inaonekana hujaelewa point hii.
Hoja nzima ya kwamba mwanamme ndiye analisha na kutunza mwanamke imepitwa na wakati.Mahari pia ni sehemu ya interview kwa.mwanaume kumpima kama ana uwrzo.ea kulisha na kutunza huyo mwanamke.kuna makabila mengine lazima uhojiwe kazi unayofanya ya kukuingizia kipato hawaki mtoto wO aolewe.na mzururaji.mtu ambaye kipato chake.tu hana cha kueleweka
Mtu kushindwa kulipa mahari ni dalili ya waxi.kuwa ana pepo la umaskini ja sio.vizuri kuoza mtoto kwa mtu mwenye pepo la umaskini
Mahari inamtbulisha mtu.kuwa uwezo upo wa kutunza huyo mke
Biblia ndio inaagiza hivyoHoja nzima ya kwamba mwanamme ndiye analisha na kutunza mwanamke imepitwa na wakati.
Mnaishi katika ulimwengu uliopitwa na wakati unaomfanya mwanamke hana akili, ni mtu wa kulishwa na kutunzwa tu na mwanamme.