Wale Askari polisi na Wanajeshi waliokuwa wamesiama pembeni wakiwaangalia wananchi wakivuta ndege kwa kamba ni Watanzania?

Wale Askari polisi na Wanajeshi waliokuwa wamesiama pembeni wakiwaangalia wananchi wakivuta ndege kwa kamba ni Watanzania?

Hao JWTZ ni vilaza watupu,
Hii nchi imeoza kuanzia Ikulu,Ndege imeanguka,hapo ilipoanguka,nyamkazi,ni makazi ya watu wazito,ni kama ununio Kule Dar,taarifa zilifika mapema,kilometa 15 Kuna kambi ya field force,hapo uwanjani Kuna magari ya zimamoto,kwanini gari hazikufungwa zisaidie kuvuta?utakuta magsri ni mabovu,au hayana mafuta,
Mama yupo anazunguka tu akitikisa makalio Kwa wachina
Duuuh...Hapa umetukosea heshima wa-TZ.

Mama ni Rais wetu wa nchi, hata kama amekukwaza lakini uhuru ulionao usivuke mipaka kutukosea heshima kiasi hicho Chifu.
 
Hao JWTZ ni vilaza watupu,
Hii nchi imeoza kuanzia Ikulu,Ndege imeanguka,hapo ilipoanguka,nyamkazi,ni makazi ya watu wazito,ni kama ununio Kule Dar,taarifa zilifika mapema,kilometa 15 Kuna kambi ya field force,hapo uwanjani Kuna magari ya zimamoto,kwanini gari hazikufungwa zisaidie kuvuta?utakuta magsri ni mabovu,au hayana mafuta,
Mama yupo anazunguka tu akitikisa makalio Kwa wachina
Huu uhuru wa kuongea umezidi kiwango.
 
Hao JWTZ ni vilaza watupu,
Hii nchi imeoza kuanzia Ikulu,Ndege imeanguka,hapo ilipoanguka,nyamkazi,ni makazi ya watu wazito,ni kama ununio Kule Dar,taarifa zilifika mapema,kilometa 15 Kuna kambi ya field force,hapo uwanjani Kuna magari ya zimamoto,kwanini gari hazikufungwa zisaidie kuvuta?utakuta magsri ni mabovu,au hayana mafuta,
Mama yupo anazunguka tu akitikisa makalio Kwa wachina
Tukosoe kwa staha.
 
Mkuu JUAN MANUEL , heshima kitu cha bure!, futa hii last line kwenye post hii!. Kumbe wengine tukimuangalia kiongozi wetu avyotembea kwa heshima, kumbe wengine wetu mnaangalia vitu vingine!. This is not fair!, is not right!.
Tusiitumie vibaya hii freedom of expression tunayo enjoy humu!.
P
Inasikitisha kwa kweli.
 
Nimeona video ya wananchi wakivuta ndege ya PW huko ziwani Bukoba kwa kutumia kamba huku wakiimba na kuhamasishana.

Nimeangalia hiyo video na kuwaona askari kadhaa wa Jeshi la Polisi pamoja na JWTZ wakiwa wamesimama pembeni "Wanaangalia" tukio.

Swali langu ni moja tu: Je, wale ni Watanzania?
Mbona ni kawaida mkuu?
Sio mara moja kwenye uokozi baharini hawa wavaa magwanda huwa wanawaachia wananchi
 
Hao JWTZ ni vilaza watupu,

Hii nchi imeoza kuanzia Ikulu, Ndege imeanguka, hapo ilipoanguka,nyamkazi, ni makazi ya watu wazito,ni kama ununio Kule Dar.

Taarifa zilifika mapema, kilometa 15 Kuna kambi ya field force, hapo uwanjani Kuna magari ya zimamoto. Kwanini gari hazikufungwa zisaidie kuvuta? Utakuta magsri ni mabovu, au hayana mafuta.

Mama yupo anazunguka tu akitikisa makalio Kwa wachina
Ha ha ha ha ila we jamaa unajiamni nn kuandika matusi kwa mkuu wa nchi
 
Mkuu JUAN MANUEL , heshima kitu cha bure!, futa hii last line kwenye post hii!. Kumbe wengine tukimuangalia kiongozi wetu avyotembea kwa heshima, kumbe wengine wetu mnaangalia vitu vingine!. This is not fair!, is not right!.
Tusiitumie vibaya hii freedom of expression tunayo enjoy humu!.
P
Kauli nyingine unaweza tu kuichukulia +ve badala ya -ve. Kwangu mimi naona hiyo ni compliment na wala sio insult. Kama kajaaliwa je???
😀😀😄 Ila nchi hii ina watuuuu!🙌
 
Back
Top Bottom