Wale Askari polisi na Wanajeshi waliokuwa wamesiama pembeni wakiwaangalia wananchi wakivuta ndege kwa kamba ni Watanzania?

Uzuri bado ana option ya ku edit! Aisee, kuna watu wana hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisei! Kabisa unaona huu ni uhuru wa maoni?
Aiseiii! Huo ni uhuru wa maoni? Umeandika kwa kusudia au kichwa kilikumbwa na 'mabadiliko ya tabianchi?' Ukiweza futa utakuwa na busara mno.[emoji120][emoji120][emoji120]
Huyu mwamba sijui bandle imeisha maana bado ana option ya kuedit ila katulia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo mengine mbona yanaeleweka? Polisi hana mafunzo ya kuwa mtaalam wa kuogelea,Askari wa ardhini wa JWTZ hana ujuzi wa kuogelea alio nao mvuvi wa kawaida.
 
Pamoja na juhudi za Capt Luhaga kupeleka ndege ziwani mita chache kutoka Airport akiamini hapo ndipo watapata msaada kwa linalokwenda kutokea lakini imekuwa kinyume sana kwa uzembe wa mamlaka zinazohusika. Kama nchi tujitafakari sana. RIP Linda

Ccm ndio inaharibu hii nchi
 
Hao askari na wanajeshi walikuwa wanasubiri amri wawatawanye hao faia...

Kamanda wa polisi kagika taarifa yake ya awali aliwataka wananchi waondoke hapo...

Kulikuwa na issue nakwambia.

Nahisi wananchi tunatumika kwenye kafara za damu kwa viongozi
 
Ngoja nikusaidie picha kama bado haijaletwa
 
Kuvaa tu magwanda haina maana watafanya lolote muda wowote. Dege sio kitu kidogo na si kwamba kila askari ni mwigeleaji au ni mtaalamu wa uokoaji. Kumbuka wale raia wengi ni wavuvi na majini ni kwao.
Askari wetu ni watu werevu tu hasa JWTZ.
 
Wanaangalia nini vijana si wavuta bangi hao hao ndio wapiga nyeto kwa picha ya Beyoncé akiwa DC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…