Wale Matajiri wenye Kisimbuzi cha Kitajiri cha Dstv hizi Mechi za CAFCL ilipo Yanga na ile ya CAFCC iliyopo Simba tunazitizama katika Channels gani?

Azam kisimbusi cha kimasikini afu hapo ulipo hata hujui kinafanya vp kazi hadi uone hizo mechi zenu
Wabongo bhana πŸ˜‚
 
Braza hacha kuongelea ligi ya kimasikini maana hiyo ligi hiko chini ya ufadhili wa serikali yaani serikali imetoa pesa ya zawadi kubwa kuliko zawadi kuu ya mashindano .....tena bado unabaki kuiangalia tena utakuwa hauko seriously
 
Mna mdharau azam tv ila kaa mkijua h mechi ya leo na mechi zote za CAF zinazofanyika hapa Tanzania production yake inafanywa na Azam Tv, kwahy azam msimchukulie poa mana n best broadcaster kwenye list ya CAF.
Shemeji siyo dhambi kuwa na kisimbusi cha Azam πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… naona unakitetea sana. Huwa unaangalia tamthilia? πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Kwa sababu nilishawahi kufanya kazi azam tv (kama unakumbuka niliwahi kukuambia ishu yangu ya kazini) so nawashangaa sana watu wanaoidharau azam n Bc tuu hawaifahamu hy azam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…