Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

Wale Mliioa/Kuolewa na Watumishi ili Msaidiane Maisha mambo yakoje huko Ndoani?

suala gumu hili.ingekua kipato bas jeff bezos asingeachana na mke wake. katoa talaka analia na mke kachkua dola $ bil 33.na hisa 30% na sasa kaenda kwa mwalim wa shule ya msingi.. watumish vilio kila kona eitha mama au baba full safar akikaa nyumban labda siku 2
majukm ya ukurugenz tena huach safar.nyumbq zinateketea mama utamwambia nin na yeye ana dereva na v8 inasubir nje. management vikao kama vyote.baba dar mama dodomaaa.
 
Wengi wako disappointed vibaya mno, maana walivyotegemea sivyo wanavyokutana navyo ndoani humo.

Sasa hivi wamebaki tu kujifariji eti "siku nikifa watoto wangu hawatapata shida kubaki na mama yao"
 
Nadhani mwanaume anatakiwa kuoa mwanamke ambaye kesho na kesho kutwa likitokea lolote kwa mwanaume familia itaendelea ku survive
"Likitokea lolote kwa mwanaume" ..kama lipi labda??
 
Mambo ni magumu kiasi chake maana kipato cha mwanamke ni chake, na kipato cha mwanaume ni cha wote... Lakini pia kuna mazingira ya kikazi ya mwanamke yanaleta hali ya sintofahamu ktk suala la kuaminiana kihisia... Huu utaratibu wa kusema MSAIDIANE nadhani hakuna mashiko sana na hii inapelekea mwanaume kujikuta unatengeneza bomu linalokuja kukulipukia mwenyewe baadae. NAJUTA MIMI

Hongereni mliooa mama wa nyumbani na heshima mnaipata
Pole sana mkuu.
 
Wote wanatiwa nje tu,hakuna mwenye afadhali....

Ila mtumishi wa umma ana kiburi pro max...hiyo ndio shida
Na kiburi na ndoa haviendani kabisa yani.

Imagine unalala na mtu mwenye kiburi cha hatari.
Ni balaa sana hapo ndani.
 
Duuh! Kweli kuna wanaume wanategemea kusaidiwa kiuchumi na mwanamke?..🤔🤔
 
Na kiburi na ndoa haviendani kabisa yani.

Imagine unalala na mtu mwenye kiburi cha hatari.
Ni balaa sana hapo ndani.
Mwanaume hawezi vumilia kabisa kiburi

Anaona yupo threatened hivyo anakua mkali kupita maelezo ku counter balance hiyo threat.
 
Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya

Nyumba kaikuta na kila kitu ndani

Akicheza anabeba begi kwao!!

Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!

Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Duu!
 
Nilichoona Kwenye maisha ya wanaume wengi, kwa asilimia kubwa mwanamke ambae atakupa sapoti ambayo itafanya uinuke kiuchumi ni mama mzazi na ndugu wa kike, hao wanawake wengine wanakuja kwa nia ya kuchuna tu.

Ni mara chache kukuta mwanaume ni tajiri sababu amepewa sapoti na mkewe au mchumba Rabboni Natafuta Ajira
Aiseh unabahati sana kusaidiwa na ndugu wa kike! Sijawahi kuona
 
Back
Top Bottom