dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
mji wa jangwa Dom,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu acha ujinga unaweza kucompare dodoma na moshi hivi wewe una akili timamu kwelDodoma na Kilimanjaro kuna tofauti gani?
Kule ni balaaamji wa jangwa Dom,
KabisaMshamba mshamba Tuuu
Jipe moyo Dar ni Dar tuTatizo lako umekariri maisha nyumba unaweza kujenga hata kijijini inategemea malengo yako kuna watu wanaangalia miaka 10 au 20 ijayo na kuendelea wewe akili yako imelala na umekalili kuwa miji mikubwa ndipo unatakiwa kujenga, nikupe pole ila ujue Dodoma kuna uhaba mkubwa wa nyumba na hata serikali haitahama Dodoma, Rais Samia ameshatoa pesa kwa kila wizara ijenge ofisi ya kudumu Dodoma
Mimi Dodoma nikafate nini huko JangwaniHuna pesa ya kupanga nyumba dom
Ukiishi Dar unakuwa na akili kwamba pesa zote zipo Dar huko mikoani kuna watu wanapesa na hata hawana keleleJipe moyo Dar ni Dar tu
Ni moja ya mkoa hovyo sanaHovyo yake inatokana na nini hasa?
Umeandika as if kila mtu anajua unachofikiria kwenye kichwa yako.
Nani kaleta mada za hela hapa kenge weweUkiishi Dar unakuwa na akili kwamba pesa zote zipo Dar huko mikoani kuna watu wanapesa na hata hawana kelele
Tupe tofauti acha kurukaruka kama digidigi!Ebu acha ujinga unaweza kucompare dodoma na moshi hivi wewe una akili timamu kwel
Fala wewe umetoka Musoma huko kuishi Dar unajiona na wewe ni Mzaramo pumbavu huna akili kabisa boys wewe limbuke mkubwaNani kaleta mada za hela hapa kenge wewe
Unaandika kama chekechekea. Maneno sita tu umemaliza.Ni moja ya mkoa hovyo sana
Labda kama kuna Dodoma nyingine unatoilezea,Dodoma hakuna mzunguko wa pesa upangaji wa nyumba ni hafifu sana,siyo ishu ya kukashfu mtawala aliyepita,mambo ni tough.Alokuambia nyumba za Dodoma hazina wapangaji sehemu gani?acha basi hoja za hovyo au lengo mumkashifu tu mtawala aliyepita?
Vitu vingine havipendezi mtu mzima kudanganya...Dodoma hii ht kama Rais wa sasa ameikacha lakini bado mahitaji ya nyumba ni makubwa....
Acha uongo!!
Watu wa mkoani ndio wapi hao,,na wewe huko wapiKipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar