Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
- Thread starter
- #61
Musoma kwa baba yako mbwa weweFala wewe umetoka Musoma huko kuishi Dar unajiona na wewe ni Mzaramo pumbavu huna akili kabisa boys wewe limbuke mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Musoma kwa baba yako mbwa weweFala wewe umetoka Musoma huko kuishi Dar unajiona na wewe ni Mzaramo pumbavu huna akili kabisa boys wewe limbuke mkubwa
Siwezi kujichosha cz jf kuna mijitu ambayo ina stress za maishaUnaandika kama chekechekea. Maneno sita tu umemaliza.
Andika kama a great thinker ili ueleweke. Jenga hoja, toa sababu.
😂😂😂Bora hata Dom je wale waliojenga Chato?
Nan akaishi sehemu jua kali na vumbiSasa kwanini dodoma isiwe makao makuu, hangaya anapenda tuu kukaa dar ila maamuzi ya kuhamia dodoma yalikuwa sahihi
[emoji3][emoji3][emoji3] akafuge nguruweKuna mtu akiwa amevaa nguo kabisa kaenda kujenga guest house Chattle .
Daaaahhh sasa litakuwa danguro la bukubuku
Well said dodoma inabebwa na wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi tu mzunguko wa hela ni mdogo sanaLabda kama kuna Dodoma nyingine unatoilezea,Dodoma hakuna mzunguko wa pesa upangaji wa nyumba ni hafifu sana,siyo ishu ya kukashfu mtawala aliyepita,mambo ni tough.
Nipo sudanWatu wa mkoani ndio wapi hao,,na wewe huko wapi
Mimi dodoma nimeishi napajua vizuriMmhhh we ndio wale wale umezaliwa pwani,umesoma pwani,umeoa pwani mzaramo mwenzio,hujawahi kuvuka zaidi ya chalinze,Dodoma huijuhi.
Dodoma nyumba zinatafutwa kwa udi na uvumba,na soko,demand ya kupanga ni kubwa sana,
Mi mdau wa nyumba,kuanzia kisasa,area c,uzunguni,meliwa,mtumba,kote huku vyumba na nyumba zinatakiwa sana na mahitaji ni makubwa.
Usisikilize story za vijiweni.Tembelea Dodoma ujionee,fika eneo linaitwa kisasa ujionee,
Watu wanakuja wanaona nyumba,wanapanda dau wakupe 600K kwa mwezi,wachukue nyumba kwa miaka mitano,we amia kwingine!!
Nilishangaa sana kuona mwisho wa daladala ni saa tatu [emoji58]Mbaya zaidi sisi watafutaji (mapopo) ukifika Dom saa 2000hrs huwezi kupata usafiri wa uhakika kuelekea Arusha au Iringa inakulazimu ulale, kitu ambacho ni dhambi kwa mtafutaji.
Wewe ni mchaga pori!Sibishani na kenge mimi
ExactlyBasically hali ya hewa kwa kipindi Fulani cha mwaka sio nzuri sana!! Pia ilikuwa hakuna umuhimu sana kwenye dunia ya Mtandao kuwarundika na kuweka wizara zote sehemu moja!! Kwa mawazo ya walio wengi ingependeza wizara ziwe kama ifuatavyo; Hazina DSM, uvuvi Mwanza, Utalii Arusha, Uchukuzi DSM, Misitu Morogoro, Madini Geita, Tamisemi mama LA mawizara Dodoma, Elimu Dodoma, Muungano na Mambo ya nje DSM
Acha kupanic kenge wewHuna akili nyumbu wewe, chuki na roho zako za korosho usizilete Dodoma
Tatizo lako huoni mbali.... unaangalia na kunaona kwa urefu wa pua yako😂🤣😹Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Mtasubiri sana hivi uwanja wa ndege umefikia wapiU nailed it!bora umemuambia!
Wanaskilizaga story za vijiweni
Kumepauka vumbi tupu na jua kaliWe jangili la kigogo unatetea mji wako ambao hauna tofauti na Mogadishu jangwa njaa kali
HaaDodoma ni mji mmoja wa hovyo kabisa
Walikurupuka sanaZa kuambiwa changanya na za kwako...
[emoji3][emoji3]Dodoma kupita njia tu uwa naona kero sembuse kuishi