Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Haa Dodoma Serikali Ilikuwa Inapumzika Kwanza Yaani Safari Ilikuwa Rasmi ChettleIlikuwa dalili ya kuipeleka serikali chato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa Dodoma Serikali Ilikuwa Inapumzika Kwanza Yaani Safari Ilikuwa Rasmi ChettleIlikuwa dalili ya kuipeleka serikali chato.
Brother maisha unayoishi wew usidhan kila mtu anaishi hayo hayoUsikute hata nyumba hana maneno mengi mjini kwenye kaja juzi tu anajifanya yeye ni wa Dar
Watu wanakimbilia hapo katikat ya mji ndo maanaJamaa muongo Sana...nyumba dodoma gharama sana.means Kuna shortage ya nyumba...Maana yake Ni kua uhitaji Ni mkubwa
Hii nakataa nina shughuli nafanya dom, mzunguko wa pesa popote pale hutegemea unachofanya. Hata dar unapoona Kuna mzunguko mkubwa, Kuna watu wanafeli na kufunga biashara.Mimi dodoma nimeishi napajua vizuri
Ila ukweli ni kwamba dodoma ni kugumu na mzunguko wa hela ni mdogo
Kabisa ni kupoteza hela tu hukoLile jua ni balaa linawaka mapema asubuhi kali, ardhi ina magadi ya kutosha, serikali iliyokuwa ya kizalendo haiwezi kuendelea kumwaga mabilioni ya shilingi jangwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] mim ni msukuma Lakin siwezi kwend kuishi chatoDu kule ndio balaa wengi wameishia njiani na kujikuta wamepoteza hela nyingi,maana hata viwanja vilipanda bei mara dufu
[emoji2962]Kumbe lengo lako ni kulinganisha Dodoma na Dar
Ndo akili yake inavyowazaMkuu kwamba Dodoma itakuwa Kama Gaborone
Bora hata Dom je wale waliojenga Chato?
Brother mim ni Ngosha OG kabisaWewe ni mchaga pori!
OkDodoma ni mji mzuri sioni ubaya wake kihivyo. Pia kuhusu nyumba , Dodoma Kuna uhaba mkubwa wa nyumba na gharama za kupanga ni kubwa Sana.
Nyumba ya kawaida tu si chini ya 300k
Na hii haijatokana na serikali kuhamia huko bali ndio maisha ya huko yalivyo kwa muda mrefu.
Dodoma ni mji wa gharama Sana
Pia kuhusu Dar, watu wote hawawezi kuishi dar. Watu wapo wanafanya kazi namanyere, kalambo, tandahimba, buhigwe, ngara, uvinza n.k na maisha yanaenda vizuri tu.
Wote hao wakiwa na mawazo Kama yako basi hakutakua na Maendeleo.
Kule ni porini [emoji3]Haa Dodoma Serikali Ilikuwa Inapumzika Kwanza Yaani Safari Ilikuwa Rasmi Chettle
Nina mtu yupo sabasaba kila siku analia biashara hamnaHii nakataa nina shughuli nafanya dom, mzunguko wa pesa popote pale hutegemea unachofanya. Hata dar unapoona Kuna mzunguko mkubwa, Kuna watu wanafeli na kufunga biashara.
Hivi kuna watu walienda kuwekeza chato? Au unaongea jokes?Bora hata Dom je wale waliojenga Chato?
Usiniulize kama na nyumba niulize unamiliki nyumba ngapi hapa tanzaniaWewe mwenyewe una nyumba?Hivi watanzania tumekula maharagwe yq wapi?
Moro tatizo waluguru wachawi sana hawashindwi kukupiga juju ukarudi ulipotokaVipi Dodoma vs Morogoro wapi ni pazuri kiutafutaji na kuishi
Hao wakafungie nguruwe tu