Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Huu uongo unakusaidia nini mkuu..

Karibu Dom mkuu 👇

IMG-20211224-WA0008.jpg
 
Mimi nilikuwa Dodoma hivi karibuni, aisee panachipuka kwa kasi ya ajabu.........ni swala la serikali kuweka jitihada zaidi za kuweka miundombinu muhimu kwa ajili ya hadhi ya makao makuu, nilichogundua pia hali yake ya hewa imeboreka sana tofauti na zamani, na majuzi hapa makamu wa rais alikuwa anahimiza uzalishaji wa vitalu vya miti ili taasisi za umma na binafsi, wafanyabiashara na wananchi wapande miti ya kutosha........kwa hiyo ndugu mleta mada unapo underrate Dodoma unakuwa hueleweki hasa lengo lako ni lipi, labda kama una chuki binafsi tu.
Sawa...lakini nature inakataa
 
Ukisha vuka miaka 45 uwekezaji wako mzito utakuja kufaidiwa na wanao au wajukuu zao. Mamijengo unayo yaona uk usa ya zamani sasa hivi wajukuu ndio wanayafaidi huku wazee wao waliovuja jasho wakiwa wamesha maliza mwendo.
Kwa nini unasema uongo wa namna hii? Unazungumzia uwekezaji wa nini? Waliowekeza kwenye chanjo ya corona kama Pfizer mbona wanaona faida sasa hivi hata kama miongoni walikuwepo wenye miaka 100?
 
Alokuambia nyumba za Dodoma hazina wapangaji sehemu gani?acha basi hoja za hovyo au lengo mumkashifu tu mtawala aliyepita?
Vitu vingine havipendezi mtu mzima kudanganya...Dodoma hii ht kama Rais wa sasa ameikacha lakini bado mahitaji ya nyumba ni makubwa....

Acha uongo!!
Mkuu hao ni wale wapumbavu ambao kwa akili zao fyatu wanadhani kuna siku eti Capital City itarudi Dar,kamwe haitakaa itokee..

Nilikuwa Dom wiki hii Jiji limekucha kuanzia kule Mji wa Serikali hadi mitaani mjini Kati kote ujenzi wa majengo na miundombinu mingine umeshika Kasi.
 
Mimi nilikuwa Dodoma hivi karibuni, aisee panachipuka kwa kasi ya ajabu.........ni swala la serikali kuweka jitihada zaidi za kuweka miundombinu muhimu kwa ajili ya hadhi ya makao makuu, nilichogundua pia hali yake ya hewa imeboreka sana tofauti na zamani, na majuzi hapa makamu wa rais alikuwa anahimiza uzalishaji wa vitalu vya miti ili taasisi za umma na binafsi, wafanyabiashara na wananchi wapande miti ya kutosha........kwa hiyo ndugu mleta mada unapo underrate Dodoma unakuwa hueleweki hasa lengo lako ni lipi, labda kama una chuki binafsi tu.
Jiji limeshakuwa kubwa na biashara ziko busy Sana.

Hii ndio legacy pekee ya Mwendazake nayoikubali. Ukiacha Dar hakuna Jiji lingine liko busy kwa Construction kama Dom.
 
Mkuu hao ni wale wapumbavu ambao kwa akili zao fyatu wanadhani kuna siku eti Capital City itarudi Dar,kamwe haitakaa itokee..

Nilikuwa Dom wiki hii Jiji limekucha kuanzia kule Mji wa Serikali hadi mitaani mjini Kati kote ujenzi wa majengo na miundombinu mingine umeshika Kasi.
Wakoloni hawajawahi kuielewa Dodoma, marais wote walijua mji huu ni kimeo, sasa unatembea mjini hakuna hata mzungu wala mchina wa maana ujue ni pakishenzi... hoteli za nyota 2 ipo moja au mbili ... pakishenzi sana kwa kweli
 
Watanzania sisi akili zetu za ajabu sana.

Mtu unalalamikia serikali kuhamia Dodoma kwamba waliokimbilia kuwekeza huko shauri yao? Kwani waliambiwa wakawekeze huko? Halafu cha ajabu ,unataka kusema Dodoma imeanza kujengwa kipindi Cha huyo mtu mmoja uliyemtaja au ndo akutukanaue hakuchagulii tusi?

Hivi unamlaumu huyo mtu mmoja aliyeamua kuishi kwa vitendo lugha za viongozi kusema ni makao makuu ya nchi ilimhali ofisi nk ziko mkoa mwingine, hapa nani wa kumshangaa?

Tuacheni ujinga, kama ni hivyo alaumiwe aliyefanya makao makuu yawe Dodoma na s aliyeamua kuhamia badala ya kuishi kwa unafiki kwamba makao makuu ni Dodoma.
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Mambo yanajiset taratibu. Ila kiukweli Dodoma ni Jangwa, mvua hazinyeshagi. Hao wala bata wa serikali walijiadhibu wenyewe kurudi huko.
 
Bora hata Dom je wale waliojenga Chato?
Watanzania tuache unafki sasa swali gan unaulizaaaa?

Hivi ile issue ya crdb stadium pale chato bado ipo?

Na ile crdb Chato?

Kile kiwanja cha ndege nasikia kinatumiwa na watalii kwaajil yakwenda kwenye ile hifadh!
 
Hakuna vichocheo vya kiuchumi...wanalazimisha
Vichocheo vya kiuchumi ni vitu vinavyoendana na mahitaji ya watu.....kwa hiyo vinaongezeka kadri jiji linavyozidi kukua. Kuna mzee wa siku nyingi maeneo ya goba alikuwa ananisimulia pale kariakoo kulikuwa na msitu na simba wakikaa humo. Sasa leo ukimwambia mtu kariakoo palikuwa pori atakuelewa?
 
Wakoloni hawajawahi kuielewa Dodoma,marais wote walijua mji huu ni kimeo , sasa unatembea mjini hakuna hata mzungu wala mchina wa maana ujue ni pakishenzi...hoteli za nyota 2 ipo moja au mbili ...pakishenzi sana kwa kweli
Unaelewa maana ya kujenga Mji Mkuu? Hizo hotel zitakuja kama zote is a matter of time.

Soma hiyoo 👇

Screenshot_20211225-133423.png
 
Jangwani pagumu sana,kuna mwanangu alihama toka iringa mjini kwa mbwembwe, last week ananiambia anataka kurudi kwa Mkwawa tu
 
Back
Top Bottom