Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Ni sawa na kujenga uwanja wakimataifa wa ndege kule Chato..sasa mnasubiri Chato ikue kiuchumi.!!!!..yaani wasuKUMA sijui akili zenu ni za humo au vp?
Chato inaingoaje hapa,Tuko Dom

2963613_thumb_2392_800x420_0_0_auto.jpg
 
Miaka 10 ijayo Dodoma itakuwa imeshaipita Dar....uwekezaji unaofanyika kule ni Mkubwa. Uwezekaji wa Dar ni watu binafsi tu. Dodoma serikali inawekeza, na watu binafsi wanawekeza.
Sawa subiri serikali Ije kukujengea nyumba
 
Wabongo ni watu WA kukata Tamaa mapema Sana,mtoa mada ameshindwa kuona kesho itakuaje sidhani kama Dodoma kuendelea kwasababu baada ya miaka mitano ijayo huo mji utapiga hatua kubwa za kimaendeleo alafu sikuzote ardhi ni Mali na hata hao ambao wamejenga Huko Dodoma bado hawajapoteza pesa zao...
Maana ya uwekezaji ni kurisk maisha
Ok
 
Sasa yeye si amezoea Bahari...Amezaliwa kwenye bahari, amekulia huko, akasoma hukohuko kwenye bahari...maisha yake mengi ameishi karibu na bahari....ndio maana anapenda maeneo yalio karibu na bahari...ni haki yake....
Mama hawez kukaa sehem kuna jua kali na vumbi
 
Uwekezaji wa miundo mbinu?wakati hakuna cha bandari,viwanda,utalii,etc?
Sasa viwanda vitakuja bila ya miundo mbinu? Ni lazima kimoja kianze, ili kivutie vitu vingine. Miundo mbinu itavutia vitu vingi. Uwepo wa miundo mbinu; na wafanyakazi wa serikali waliohamia hapo; tayari vitavutia vitu vingine kufanyika.
 
Ni upuuzi uliopitiliza kuwekeza mji mgumu kama Dodoma...nyumba hazina soko kabisa..wawekezaji aka shoppers plaza wanajuta manake manunuzi ni watumishi wa umma ambao matumizi yao ni ya msimu na wana nguvu ndogo...Bakharesa na Mo wameshindwa kuweka depot za maana Dodoma....maji hakuna,vumbi,mpauko...yule mwehu ametupa mateso sana
Hahahahah bora umesema kuna majtu majnga
 
Mtoa mada inawezekana hapajui dom, amebeba story za kwenye kahawa, ss tumejenga dom na tunapiga mihela, biashara zinafanyika sanaaaa ndo maana watu wana pesa sana dom ya sasa[emoji1316]
 
Kwa nini unasema uongo wa namna hii? Unazungumzia uwekezaji wa nini? Waliowekeza kwenye chanjo ya corona kama Pfizer mbona wanaona faida sasa hivi hata kama miongoni walikuwepo wenye miaka 100?
Unajua unapo bwabwaja bila facts unaonekana mpumbavu kati ya wajinga. Soma hapa
Mr. Charles Pfizer aliye zaliwa mwaka (1824–1906) sasa hivi yuko wapi na hayo matunda ya hiyo chanjo?

kiwanda chenyewe kilianzishwa kama miaka 172 iliyo pita January 1, 1849; huko New York City.

haya nawe njoo na ukweli wako
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Kama hivi nakuelewa ddma itachukua mda kua na mzunguko wa biashara unao eleweka.
 
Back
Top Bottom