The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Chato inaingoaje hapa,Tuko DomNi sawa na kujenga uwanja wakimataifa wa ndege kule Chato..sasa mnasubiri Chato ikue kiuchumi.!!!!..yaani wasuKUMA sijui akili zenu ni za humo au vp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chato inaingoaje hapa,Tuko DomNi sawa na kujenga uwanja wakimataifa wa ndege kule Chato..sasa mnasubiri Chato ikue kiuchumi.!!!!..yaani wasuKUMA sijui akili zenu ni za humo au vp?
Ni Wale waliopenda Sifa za kijinga kwa HayatiKuna mtu akiwa amevaa nguo kabisa kaenda kujenga guest house Chattle .
Daaaahhh sasa litakuwa danguro la bukubuku
Sawa subiri serikali Ije kukujengea nyumbaMiaka 10 ijayo Dodoma itakuwa imeshaipita Dar....uwekezaji unaofanyika kule ni Mkubwa. Uwezekaji wa Dar ni watu binafsi tu. Dodoma serikali inawekeza, na watu binafsi wanawekeza.
OkWabongo ni watu WA kukata Tamaa mapema Sana,mtoa mada ameshindwa kuona kesho itakuaje sidhani kama Dodoma kuendelea kwasababu baada ya miaka mitano ijayo huo mji utapiga hatua kubwa za kimaendeleo alafu sikuzote ardhi ni Mali na hata hao ambao wamejenga Huko Dodoma bado hawajapoteza pesa zao...
Maana ya uwekezaji ni kurisk maisha
Mama hawez kukaa sehem kuna jua kali na vumbiSasa yeye si amezoea Bahari...Amezaliwa kwenye bahari, amekulia huko, akasoma hukohuko kwenye bahari...maisha yake mengi ameishi karibu na bahari....ndio maana anapenda maeneo yalio karibu na bahari...ni haki yake....
Sasa viwanda vitakuja bila ya miundo mbinu? Ni lazima kimoja kianze, ili kivutie vitu vingine. Miundo mbinu itavutia vitu vingi. Uwepo wa miundo mbinu; na wafanyakazi wa serikali waliohamia hapo; tayari vitavutia vitu vingine kufanyika.Uwekezaji wa miundo mbinu?wakati hakuna cha bandari,viwanda,utalii,etc?
OkMtoa Uzi acha bias, Dodoma kuchele aisee fanya uende ukajionee mitaa you ipo full ...makulu sijui wapi na wapi
[emoji3][emoji3]Mkoloni pamoja na kuipenda Tanzania na wizi wake ,hakuna sehemu inayoonyesha aliwahi kuishi dodoma,wenyewe wagogo wako dar wanaomba
Kabisa alikuwa na maslai yakeSTRAGETICAL DOM HAPAFAI HAPAFAI HAPAFAI PALILAZIMISHWA TU NA HUU NDIO UKWELI HALISI LETS NATURE LEADS AND SHOW THE WAYS
Unapanic nini brotherUmeona kigambano ndio wanakaa wajanja shida yako wewe ni mshamba sana
Kilimanjaro kuna mlima wa Africa yote wa Kilimanjaro na ni kivutio cha utalii na kuna mvua nyingi na mito na vijito kibao vya kutiririsha maji kama bustani ya edeniDodoma na Kilimanjaro kuna tofauti gani?
Ziko wapi mbona mmepaukaMwambie Mikoani kuna pesa
Hahahahah bora umesema kuna majtu majngaNi upuuzi uliopitiliza kuwekeza mji mgumu kama Dodoma...nyumba hazina soko kabisa..wawekezaji aka shoppers plaza wanajuta manake manunuzi ni watumishi wa umma ambao matumizi yao ni ya msimu na wana nguvu ndogo...Bakharesa na Mo wameshindwa kuweka depot za maana Dodoma....maji hakuna,vumbi,mpauko...yule mwehu ametupa mateso sana
OkMkuu kwa nini kupangia watu maisha, kama wewe umejenga Dar wengine wanaona Dodoma panawafaa......
Unajua unapo bwabwaja bila facts unaonekana mpumbavu kati ya wajinga. Soma hapaKwa nini unasema uongo wa namna hii? Unazungumzia uwekezaji wa nini? Waliowekeza kwenye chanjo ya corona kama Pfizer mbona wanaona faida sasa hivi hata kama miongoni walikuwepo wenye miaka 100?
Kabisa hakuna ngozi nyeupe itakayo kubali kuishi sehem mbaya vileHakuna kitu kama hicho...Dom haiwezi julian kiuchumi sababu hakuna vichocheo vyovyote....ukiona mji hakuna wachina wala wazungu ujue ni pakishenzi
Kama hivi nakuelewa ddma itachukua mda kua na mzunguko wa biashara unao eleweka.Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Kabisa vyuo vikifungwa tu dodoma biashara zina chachaLabda kama una deal na wanafunzi na watumishi ...ndiyo utatoboa Dodma