Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
- Thread starter
- #161
Kabisaopportunity cost! sio mbaya tutafuga kuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaopportunity cost! sio mbaya tutafuga kuku
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mi niliwekeza Dom na Chato..nilichukua mkopo sasa nasubiri nyumba yangu iuzwe na benki
Hatumii akili huyoUwekezaji wa miundo mbinu?wakati hakuna cha bandari,viwanda,utalii,etc?
Hapo sasaDodoma hakuna vichocheo vya kiuchumi..maendeleo yatatoka wapi?
Dodoma ni mkoa.... Moshi ni Wilaya ndani ya mkoa wa Kilimanjaro.Ebu acha ujinga unaweza kucompare dodoma na moshi hivi wewe una akili timamu kwel
Vumbi ndo usisemeMakulu ni uswahilini kichiz..hakuna hata baa au lodge ya maana....ni kama tandale flani
HahahahMpaka leo hakuna wachina wala wazungu wawekezaji
Sawa tatzo umezunguka hapo Town tuMimi nilikuwa Dodoma hivi karibuni, aisee panachipuka kwa kasi ya ajabu.........ni swala la serikali kuweka jitihada zaidi za kuweka miundombinu muhimu kwa ajili ya hadhi ya makao makuu, nilichogundua pia hali yake ya hewa imeboreka sana tofauti na zamani, na majuzi hapa makamu wa rais alikuwa anahimiza uzalishaji wa vitalu vya miti ili taasisi za umma na binafsi, wafanyabiashara na wananchi wapande miti ya kutosha........kwa hiyo ndugu mleta mada unapo underrate Dodoma unakuwa hueleweki hasa lengo lako ni lipi, labda kama una chuki binafsi tu.
Hata mimi ndio nashangaa kwanza Dodoma kuna vyuo kibao, unakosa hata wanafunzi.Mbona nyumba dom ghali sana
Nitoke dar nije kula holiday dodoma si itakuwa matumiz mabaya ya hela
HahahahNi sawa sawa na kwenda kupeleka mafriji,ma TV, ma computer kujijini kwenu ukategemea pataendelea kiuchumi
SawaMkuu hao ni wale wapumbavu ambao kwa akili zao fyatu wanadhani kuna siku eti Capital City itarudi Dar,kamwe haitakaa itokee..
Nilikuwa Dom wiki hii Jiji limekucha kuanzia kule Mji wa Serikali hadi mitaani mjini Kati kote ujenzi wa majengo na miundombinu mingine umeshika Kasi.
Hivi unaongea nini nenda pale sabasaba uone hali ilivyo ngum biashara hamnaJiji limeshakuwa kubwa na biashara ziko busy Sana.
Hii ndio legacy pekee ya Mwendazake nayoikubali. Ukiacha Dar hakuna Jiji lingine liko busy kwa Construction kama Dom.
Mzugu gan akakae sehem kuna jua kali kiasi kileWakoloni hawajawahi kuielewa Dodoma,marais wote walijua mji huu ni kimeo , sasa unatembea mjini hakuna hata mzungu wala mchina wa maana ujue ni pakishenzi...hoteli za nyota 2 ipo moja au mbili ...pakishenzi sana kwa kweli
Yuko wapi sasaWatanzania sisi akili zetu za ajabu sana.
Mtu unalalamikia serikali kuhamia Dodoma kwamba waliokimbilia kuwekeza huko shauri yao? Kwani waliambiwa wakawekeze huko? Halafu cha ajabu ,unataka kusema Dodoma imeanza kujengwa kipindi Cha huyo mtu mmoja uliyemtaja au ndo akutukanaue hakuchagulii tusi?
Hivi unamlaumu huyo mtu mmoja aliyeamua kuishi kwa vitendo lugha za viongozi kusema ni makao makuu ya nchi ilimhali ofisi nk ziko mkoa mwingine, hapa nani wa kumshangaa?
Tuacheni ujinga, kama ni hivyo alaumiwe aliyefanya makao makuu yawe Dodoma na s aliyeamua kuhamia badala ya kuishi kwa unafiki kwamba makao makuu ni Dodoma.
Dodoma sehem za bata hamnaMambo yanajiset taratibu. Ila kiukweli Dodoma ni Jangwa, mvua hazinyeshagi. Hao wala bata wa serikali walijiadhibu wenyewe kurudi huko.
DahNi sawa na kujenga uwanja wakimataifa wa ndege kule Chato..sasa mnasubiri Chato ikue kiuchumi.!!!!..yaani wasuKUMA sijui akili zenu ni za humo au vp?
Watalii gani waache kwenda serengeti, ngorongoro waende chatoWatanzania tuache unafki sasa swali gan unaulizaaaa?
Hivi ile issue ya crdb stadium pale chato bado ipo?
Na ile crdb chato?
Kile kiwanja cha ndege nasikia kinatumiwa na watalii kwaajil yakwenda kwenye ile hifadh!
Hiv uwanja wa ndege umefkia wapUnaelewa maana ya kujenga Mji Mkuu? Hizo hotel zitakuja kama zote is a matter of time.
Soma hiyoo [emoji116]
View attachment 2056814